Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Asubuhi
(kutoka
Kiarabu
: ????) ni kipindi cha
siku
ambacho kinaleta
mwanga
wa kwanza wa
mchana
baada ya giza la
usiku
.
Kwa
binadamu
na
wanyama
wengi ndio
wakati
wa kuamka kwa kutoka
usingizini
ili kuanza
shughuli
mbalimbali.
Katika
dini
mbalimbali, ni wakati muhimu wa
sala
.