Mtaa wa mabanda mjini Jakarta, Indonesia
Umaskini
(kutoka
neno
la
Kiarabu
) ni hali ya ukosefu wa mahitaji ya msingi ya
binadamu
kama vile
chakula
,
maji salama
,
huduma
za
afya
,
mavazi
na
nyumba
kutokana na kukosa uwezo wa kuvinunua.
[1]
Hii pia inajulikana kama umaskini uliokithiri au
ufukara
.
[2]
Umaskini wa kadiri ni kuwa na
rasilmali
chache zaidi au
mapato
madogo zaidi kulingana na watu wengine katika
jamii
au nchi au hali ya wastani
duniani
. Hali hii pia hujulikana kama umaskini halisi au unyonge. Umaskini linganishi ni hali ya kuwa na
rasilimali
chache au
kipato cha chini
kuliko wengine kwenye jamii au nchi, au ikilinganishwa na wastani duniani kote.
Umaskini unajumlisha pia matokeo yake upande wa
siasa
na jamii.
[3]
Kupunguza ufukara
ni kati ya malengo makuu ya
taasisi
nyingi za kimataifa, kama vile
Umoja wa Mataifa
na
Benki ya Dunia
.
Benki
hiyo imekadiria kuwa watu
milioni
702.1 walikuwa wakiishi kifukara mno mwaka
2015
, wakati walikuwa
bilioni
1.75 mwaka
1990
(kutoka 37.1% hadi 9.6%).
[4]
[5]
[6]
Kati yao, milioni 347.1 hivi walikuwa
Afrika
Kusini kwa Sahara
(35.2% za wakazi) na 231.3
Asia Kusini
(13.5%), lakini ufukara ni changamoto kwa nchi zote duniani.
[7]
[8]
UNICEF
imekadiria kwamba
nusu
ya
watoto
wote duniani wanaishi kifukara (bilioni 1.1).
[9]
Wataalamu
mbalimbali wamesema sera za
uliberali mpya
zinazofuatwa na taasisi za kiuchumi za kimataifa (kama vile
IMF
na Benki ya Dunia) zinazidisha tofauti za kiuchumi kati ya binadamu.
[10]
Asili ya umaskini inahusika hasa na sababu za kiwango cha chini cha
utajiri
na
uzalishaji
cha watu maskini au, ikisemwa vingine, uhaba na
mfumuko wa bei
wa
bidhaa
ambazo wanazitumia.
Watoto
wasio na makao wakilala katika Mtaa wa Mulberry-Picha ya Jacob Riis,
New York
,
Marekani
(
1890
).
Watu wasio na makao wanaishi katika nyumba zilizojengwa kwa
makaratasi
mjini
Los Angeles
,
California
.
Ukosefu wa
nia
ya
serikali
na ya watu wa
tabaka
la juu ya kuwapa wapangaji wao
haki
kamili ya kumiliki
ardhi
imetajwa kama kikwazo kikuu kwa
maendeleo
.
Utovu wa
uhuru wa kiuchumi
ni
kizingiti
kikubwa kwa
ujasiriamali
wa watu maskini.
Biashara
mpya na
wawekezaji
kutoka
nchi za nje
wanaweza kufukuzwa kutokana na kuwepo kwa
taasisi
zinazoongozwa vibaya, hasa kutokana na
ufisadi
,
udhaifu
wa
sheria
na vikwazo vingi vya
urasimu
. Nchini
Kanada
, itamchukua
mfanyabiashara
siku mbili, hatua mbili za kiurasimu na
dola
280 kufungua biashara ilhali mfanyabiashara nchini
Bolivia
analazimishwa kulipa dola 2,696 kama
ada
, angojee siku 82 za kazi, na apitie hatua 20 ili kufanya jambo lilelile.
Vikwazo vikuu kama hivi hufaidi zaidi biashara kubwa na kuzidhoofisha biashara ndogo, ambako idadi kubwa ya nafasi za kazi huundwa nchini
India
kabla ya mabadiliko ya kiuchumi, wenye biashara walipaswa kuwahonga wafanyakazi wa serikali ili wafanye kazi zao za kila siku, na ilikuwa kama
ushuru
kwenye biashara yao.
[11]
Ufisadi
nchini
Nigeria
, kwa mfano mapato yanayotokana na uuzaji wa
mafuta
yanayokadiriwa kuwa dola
bilioni
400 yameibwa na viongozi wa nchi kati ya miaka
1960
na
1999
[12]
[13]
Utovu wa nafasi pia unaweza kusababishwa na serikali kutojenga
miundombinu
bora.
[14]
[15]
Nafasi bora za kazi katika mataifa tajiri zaidi husababisha watu wenye vipawa maalum kuhama, na hivyo kuwapoteza
wataalamu
. Kupotea huku kunaligharimu bara la
Afrika
zaidi ya Dola bilioni 4 zinazotumika kuajiri zaidi ya wataalamu 150,000 kutoka nchi za ng’ambo kila mwaka.
[16]
Wanafunzi wa
India
wanaokwenda ng’ambo kuendelea na masomo yao huigharimu nchi yao mapato yanayotokana na
fedha za kigeni
yanayofika Dola bilioni 10 kila mwaka
[17]
Afya duni na ukosefu wa elimu nafuu huathiri vibaya uzalishaji. Ukosefu wa
chakula
cha kutosha utotoni huathiri uwezo wa mtu kukua na kutumia vipawa vyake. Ukosefu wa madini muhimu kama vile
iodini
na
chuma
unaweza kuzuia
kukua kwa ubongo
. Watu bilioni mbili (
theluthi
moja ya watu wote duniani) wameathiriwa na ukosefu wa iodini mwilini. Katika
mataifa yanayoendelea
, inakadiriwa kuwa asilimia 40 ya watoto wenye umri wa miaka minne kwenda chini wana ugonjwa wa
anemia
kutokana na ukosefu wa
madini ya chuma
katika chakula chao.
[18]
Vilevile
matumizi mabaya ya dawa
,
ulevi
wa
pombe
na
madawa ya kulevya
vinaweza kuwaweka watu katika hali ya umaskini unaoendelea.
[19]
Maradhi ya kuambukiza
kama vile
malaria
na
kifua kikuu
yanaweza kusababisha umaskini kwani maradhi haya hutumia raslimali zote za kifedha na afya ambazo zingetumiwa katika uwekezaji na uzalishaji. Malaria hupunguza ukuaji wa pato la kitaifa kwa asilimia 1.3 katika baadhi ya mataifa yanayoendelea ilhali
Ukimwi
hupunguza ukuaji wa Afrika kwa kati ya asilimia 0.3 na 1.5 kila mwaka.
[20]
[21]
[22]
Vita
, migogoro ya kisiasa na
uhalifu
, vinavyojumuisha vikundi haramu vinavyozua vurugu na vikundi vya walanguzi wa madawa ya kulevya pia vinaweka vikwazo kwa uwekezaji.
Vita vya wenyewe kwa wenyewe
na migogoro barani
Afrika
pia vimeligharimu bara hilo dola bilioni 300 kati ya miaka 1990 na
2005
.
[23]
Eritrea
na
Ethiopia
zilitumia mamilioni ya madola katika
vita
vilivyosababisha mabadiliko madogo ya mipaka yao.
[24]
Kutokana na hali ya
mzunguko
wa
biashara
kiwango cha umaskini kinaweza kuongezeka wakati uchumi unapozorota na kushuka kiwango cha umaskini kinaweza kuongezeka wakati wakati uchumi unapofanya vizuri. Vipengele vya
utamaduni
, kama vile
ubaguzi
wa aina mbalimbali, unaweza kuathiri vibaya
uzalishaji
kama vile
ubaguzi kwa msingi wa umri
[25]
,
sifa mbaya
,
ubaguzi wa kijinsia
,
ubaguzi wa rangi
na
ubaguzi wa kitabaka
.
[26]
Max Weber
aliandika ya kuwa
maadili ya kiutamaduni
yanaweza kuathiri maafikiano ya kiuchumi.
[27]
[28]
Hata hivyo,
watafiti
wengine wamekusanya
ushahidi
unaoonyesha kuwa
maadili
hayajakita mizizi inavyodhaniwa na kuwa kubadilika kwa nafasi za kiuchumi hueleza zaidi msongamano ndani na nje ya umaskini kinyume na mabadiliko ya maadili.
[29]
Meza za upasuaji zilizotengenezwa kwa
mbao
ngumu ni za kawaida katika
kliniki
zilizo katika maeneo ya mashambani ya Nigeria.
Kupanda kwa
gharama ya maisha
kunawafanya maskini wawe maskini zaidi. Kiwango kikubwa cha
bajeti
za watu maskini hutumika kununua chakula ikilinganishwa na matajiri. Kutokana na jambo hili, jamii za watu maskini na wale wanaokaribia umaskini huathiriwa kwa kiasi kikubwa na ongezeko la
bei ya vyakula
. Kwa mfano, mwishoni mwa mwaka
2007
kupanda kwa bei ya
nafaka
kulizua
rabsha
katika mataifa kadhaa.
[30]
[31]
[32]
Benki ya Dunia ilionya ya kuwa watu milioni 100 walikuwa na hatari ya kuwa maskini zaidi.
[33]
Ukame
na
uhaba wa maji
pia vinaweza kuwa tishio kwa usambazaji wa chakula.
[34]
[35]
[36]
Kulima mashamba mfululizo, majira baada ya majira, humaliza
rutuba
ya
udongo
na mwishowe hupunguza mazao ya
kilimo
.
[37]
Inakadiriwa ya kuwa asilimia 40 ya mashamba duniani yameharibika vibaya.
[38]
[39]
Barani
Afrika
, ikiwa mwendo huu wa kuharibika kwa udongo utaendelea, bara hilo litaweza kulisha
asilimia
25 tu ya watu wanaoishi humo kufikia mwaka
2025
.
[40]
Watu maskini hawapati
huduma za afya
kwa urahisi.
Uhamaji
kutoka nchi maskini wa wafanyakazi wanaotoa huduma hizo umeathiri vibaya nchi hizo. Kwa mfano,
wauguzi
100,000 kutoka
Ufilipino
walihama kati ya miaka
1994
na
2006
.
[41]
Kuna madaktari
Waethiopia
wengi zaidi mjini
Chicago
kuliko wale walioko
Uhabeshi
.
Ongezeko la idadi ya watu
na ukosefu wa
huduma
za
uzazi wa mpango
vinatajwa pengine kati ya sababu za umaskini:
[42]
[43]
hata hivyo ni vyema kutambua ya kuwa watu huongezeka taratibu tu au hata idadi yao inaweza kupungua. Hii inatokana na mabadiliko kama vile kiwango cha vifo na kiwango cha waliozaliwa na jinsi zinavyoathiri idadi ya watu
[44]
Tena katika nchi iliyoendelea watu wameziacha nyumba za baraza huko Seacroft, Leeds, Uingereza kutokana na kuongezeka kwa umaskini na uhalifu .
Athari za umaskini pia zinaweza kuwa vyanzo, kama ilivyoorodheshwa hapo juu, na hivyo kuunda “mzunguko wa umaskini” unaodhihirika katika ngazi mbalimbali: ya kibinafsi, ya kimtaa, kitaifa na kimataifa.
Theluthi moja ya vifo - watu milioni 18 hivi kwa mwaka au watu 50,000 kwa siku - vinatokana na sababu zinazohusiana na umaskini. Kwa jumla, watu milioni 270, wengi wao wakiwa wanawake na watoto, wamefariki kutokana na umaskini tangu 1990.
[45]
Wale ambao wanaishi katika umaskini wanateseka kwa viwango visivyo sawa kutokana na njaa au hata
ukosefu wa chakula
na
magonjwa
.
[46]
Wale wanaoishi kwa umaskini huishi miaka michache zaidi. Kulingana na
Shirika la Afya Duniani
(WHO),
njaa
na ukosefu wa
lishe bora
ndilo tishio kuu zaidi kwa afya ya umma duniani na ukosefu wa lishe bora ndio unaochangia pakubwa
vifo vya watoto
, katika nusu ya kesi zote. Kila mwaka karibu watoto milioni 11 wanaoishi katika umaskini hufa kabla ya kufikisha miaka mitano. Watu bilioni 1.02 hulala bila chakula kila siku.
[47]
Umaskini huongeza hatari ya
ukosefu wa makazi
.
[48]
Kuna zaidi ya
watoto wasio na makao
milioni 100 duniani.
[49]
Ongezeko la tishio la matumizi ya
madawa ya kulevya
pia linaweza kuhusishwa na umaskini.
[50]
Kulingana na
Kipimo cha Kiwango Cha Njaa Duniani
, Asia ya Kusini ina kiwango kikubwa zaidi duniani cha watoto wanaokosa lishe bora.
[51]
Karibu nusu ya watoto wote nchini
Uhindi
hawapati chakula cha kutosha, mojawapo wa viwango vikubwa zaidi duniani na ni karibu mara mbili ya kiwango cha
Kusini kwa Sahara
barani Afrika.
[52]
Kila mwaka, zaidi ya
wanawake
nusu milioni wanakufa kutokana na
mimba
au wakati wa kujifungua.
[53]
Karibu
asilimia
tisini
za
vifo vya wakina mama
hutokea katika Asia na kusini kwa Sahara barani Afrika, ikilinganishwa na chini ya asilimia moja katika nchi zilizoendelea duniani.
[54]
Wakati uchumi wa dunia ulipofifia kabisa: mwanaume amelala chini kwenye gati, katika gudi za jiji la New York, 1935.
Uchunguzi umedhihirisha ya kuwa watoto wanaotoka katika jamii zenye mapato ya chini wanakumbana na tishio kubwa la kutofanya vyema katika masomo yao. Mara nyingi, jambo hili huanza kuwadhuru watoto hawa wakiwa wangali katika kiwango cha
shule ya msingi
. Katika mfumo wa elimu wa Amerika, watoto hao hupata tishio kubwa zaidi, ikilinganishwa na watoto wengine, ya kutopata gredi nzuri shuleni, kuwekwa katika maeneo maalum yaliyotengwa wakati wa masomo shuleni na hata kukosa kumaliza masomo yao ya shule ya upili.
[55]
Kuna mambo kadhaa yanayoeleza sababu za wanafunzi kuwa na mazoea ya kuacha shule. Kwa watoto walio na rasilimali kidogo, tishio linatokana na sababu kama vile viwango vya watoto waliovunja sheria, viwango vya juu vya
watoto
waliopata
mimba
, wakiwa wachanga na kutegemea kiuchumi mzazi au
wazazi
wenye mapato ya chini.
[55]
Familia na jamii zisizotilia maanani
uwekezaji
katika elimu na maendeleo ya watoto maskini hupata matokeo yasiyo mazuri kwani baadaye watoto hawa hukosa kazi na huwa na mapato madogo. Viwango vikubwa zaidi vya
kuzaa
mapema na hatari zake kwa familia, afya na maisha bora kwa ujumla ndiyo mambo muhimu yanayopaswa kuzingatiwa kwa kuwa elimu kutoka kiwango cha shule ya chekechea hadi shule ya upili ina umuhimu mkuu maishani.
[55]
Umaskini mara nyingi huathiri, kwa kiwango kikubwa, kufaulu kwa watoto shuleni. “Shughuli za mtoto akiwa nyumbani, yale anayoyapendelea, upekee wake” vyote vinapaswa kulingana na hali ilivyo duniani kwani ikiwa havilingani, wanafunzi hao hawatafaidika wakiwa shuleni na hasa darasani.
[56]
Kwa hiyo, tunaweza kusema kuwa watoto wanaoishi katika hali ya umaskini au chini ya kiwango cha umaskini watakuwa na wakati mgumu zaidi kufaulu katika elimu kuliko watoto wanaoishi katika hali isiyo ya umaskini. Watoto maskini hawapati huduma muhimu za afya na hii inawafanya wakose kwenda shuleni kwa siku nyingi katika mwaka. Pia, kuna uwezekano zaidi kwa watoto maskini kuteseka kwa njaa, uchovu, kukasirika ovyo, maumivu ya kichwa, maambukizi ya masikio, mafua na homa.
[56]
Magonjwa haya yana uwezo wa kumzuia mtoto au mwanafunzi kuelewa yale anayofunzwa darasani.
Maeneo yaliyoathiriwa sana na umaskini mara nyingi huwa na ukatili mwingi. Katika uchunguzi mmoja, asilimia 67 ya watoto kutoka jamii maskini katika maeneo yenye
makazi duni
walisema ya kuwa walishuhudia mashambulio makali, na asilimia 33 wakaripoti kushuhudia mauaji.
[57]
Asilimia 51 ya wanafunzi wa darasa la tano mjini
New Orleans
(kiwango cha wastani cha mapato kwa kila jamii: Dola 27,133 za Amerika) wameathiriwa wa ukatili, ikilinganishwa na asilimia 32 huko
Washington, DC
(kiwango cha wastani cha mapato kwa kila jamii: Dola 40,127 za Amerika).
[58]
Baadhi ya madhara marefu ya umaskini huathiri watoto kabla hata kuzaliwa. Wanawake walio na watoto waliozaliwa katika umaskini, hawawezi kulisha watoto kwa ufanisi na kwa malezi ya haki. Wanaweza pia kuugua ugonjwa ambazo zinaweza kuambukizwa kwa mtoto kwa kupitia kuzaliwa.
Pumu
ni tatizo la kawaida kwa watoto kupata wakati wanapozaliwa katika umaskini. Chakula a msaada hasa hutumiwa na watu ambao wanaishi katika kipato cha chini. Talaka, kifo, ulevi, na kupoteza kazi ni chache tu kati ya hali zinazoweza kutokana na umaskini. Wanafunzi katika darasa azilishi za shule wanaoishi katika umaskini wanalazimishwa sana kuondoka na kuzunguka kuhudhuria shule za asili zinazofadhiliwa. Hawa wanafunzi hupambana katika shule. Elimu ya umaskini humweka mtoto katika hali ya kupambana baadaye. Vijana ambao wanaishi katika umaskini ni wanaelekea zaidi kuhusika na madawa ya kulevya, pombe, kinyume cha vitendo, na kundi shughuli.
Idadi ya watu duniani wanaoishi katika hali ya umaskini uliokithiri imepungua kwa asilimia 50 tangu 1981. Jedwali lnaonyesha makisio na makadirio kutoka Benki ya Dunia kati ya 1981 na 2009.
Kulingana na historia, kupunguka kwa umaskini kumetokana kwa kiasi kikubwa na ukuaji wa
uchumi
kwa ujumla.
[11]
Umaskini ulikuwa umekubalika na wengi kama jambo lisiloweza kuepukika na nchi zilizalisha kwa kiwango kidogo sana kabla ya
mapinduzi ya viwanda
, ambayo yalisababisha ukuaji wa kiuchumi kwa kiasi kikubwa. Jambo hili liliwaokoa wengi na umaskini katika mataifa ambayo kwa sasa yanajulikana kama mataifa yaliyoendelea
[59]
Katika mwaka
1820
, asilimia 75 ya wanadamu waliishi kwa chini ya dola moja kwa siku, na kufikia mwaka wa
2001
ni asilimia 20 pekee walioishi kwa dola moja kwa siku. Ukuaji wa uchumi unaotokana na ukulima, kwa wastani, umefaulisha mara mbili zaidi nusu ya walio maskini sana katika nchi ikilinganishwa na ukuaji unaotokana na sekta zingine zisizo za ukulima.
[60]
Hata hivyo,
msaada
ili kuhakikisha ya kuwa wale ambao tayari ni maskini watapata maisha bora zaidi na pia kuifadhili mikakati ya kimatibabu na kisayansi kama vile
green revolution
na kutokomeza
ndui
.
[61]
[62]
Mojawapo kati ya njia bora zaidi za kupunguza umaskini katika nchi yoyote ni kuhakikisha kuwa haki ya maskini ya kumiliki mali imelindwa. Ulindaji wa haki ya kumiliki ardhi, ambayo ni raslimali kubwa zaidi katika jamii nyingi, ni muhimu katika kuhakikisha uhuru wa kiuchumi.
[61]
Benki ya Dunia inasema ya kuwa kuhakikisha haki ya kumiliki ardhi ndio “ufunguo wa kupunguza umaskini” ikiongeza kusema kuwa haki ya kumiliki ardhi inaongeza utajiri wa watu maskini, na wakati mwingine inaweza kuuongeza maradufu.
[63]
Inakadiriwa ya kuwa ikiwa serikali zitatambua haki ya maskini ya kumiliki mali, jambo hili litawapa raslimali ambayo kwa ujumla ni mara 40 ya misaada yote ya kigeni tangu mwaka wa
1945
. Ingawa mbinu zilizotumiwa ni tofauti,
Benki kuu ya Dunia
inasema ya kuwa maswala makuu ni yale ya haki ya umiliki na kuhakikisha ya kuwa ardhi inauzwa kwa bei nafuu.
[63]
Nchini
Uchina
na
India
kupunguka kwa umaskini kwa muda wa miongo michache iliyopita kumetokana na kuacha
ukulima wa pamoja
nchini Uchina na kuondolewa kwa urasimu mwingi serikalini nchini India.
[64]
Hata hivyo, kukatizwa kwa ufadhili wa serikali katika miradi ya kijamii, ambayo pia inajulikana kama kanuni ya
soko huru
wakati mwingine huleta matokeo ya kusikitisha. Kwa mfano,
Benki ya Dunia
hushurutisha mataifa maskini kuondoa
ruzuku
kwa
mbolea
na ilhali
wakulima
wengi hawawezi kumudu bei hizi sokoni. Kubadilishwa kwa mfumo wa ugawaji wa fedha katika
mataifa ya awali ya Urusi
ya zamani wakati wa
mpito
kuelekea
uchumi wa kibepari
kulipendekeza kupunguza matumizi ya fedha katika sekta za afya na elimu na hivyo kuongeza umaskini kwa kiasi kikubwa.
[65]
[66]
[67]
[68]
Kuanzishwa kwa
soko huria
kunaongeza ujumla wa bidhaa za nchi zinazofanya biashara
pesa zinazotumwa
kuelekea nchi maskini kama vile
India
, wakati mwingine hushinda
uwekezaji kutoka nchi za kigeni
na ni zaidi ya mara mbili ya
msaada
kutoka kwa nchi wanachama wa
OECD
(
Shirika la Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo
).
[69]
Uwekezaji wa kigeni na viwanda vinavyotengeneza bidhaa zinazouzwa katika nchi za nje zimechangia kupanuka kwa uchumi wa nchi za
Bara Asia
zinazokua kwa kasi mno.
[70]
Hata hivyo, kanuni za biashara mara nyingi huwa si za haki kwa kuwa zinazuia nchi maskini kuingia katika masoko ya nchi tajiri na pia zinapiga marufuku nchi maskini kujiendeleza kiviwanda.
[65]
[71]
Bidhaa zilizotengenezwa viwandani kutoka nchi maskini hutozwa ushuru zaidi ikilinganishwa na
malighafi
zinapowasili katika
bandari za nchi
tajiri.
[72]
Uchunguzi uliofanywa na
Chuo Kikuu cha Toronto
ulionyesha ya kuwa kodi iliyotozwa maelfu ya bidhaa kutoka
Afrika
na
taifa
ilishuka baada ya kuundwa kwa mkataba wa
AGOA
uliochangia pakubwa kuwepo kwa “idadi kubwa ya kushangaza” ya bidhaa zinazoagizwa kutoka
Afrika
.
[73]
Mikataba pia inaweza kujadiliwa ili kuzipendelea zaidi nchi zinazoendelea kama vile ilivyofanywa nchini
Thailand
, ambako kanuni ya asilimia 51 inalazimisha kampuni za kimataifa zinazoanza kuendesha biashara nchini humo kutoa asilimia 51 ya udhibiti kwa kampuni zao kwa kampuni nyingine nchini Thailand, yaani ni lazima kampuni za kimataifa zishirikiane na kampuni za humo nchini.
[74]
Rasilmali, miundomsingi na teknolojia
[
hariri
|
hariri chanzo
]
Pato la dunia kwa kila mtu
Uwekezaji katika
mtaji wa binadamu
kwa njia ya afya unahitajika ili kuhakikisha
ukuaji wa uchumi
. Si lazima mataifa yawe na utajiri ili yawe na afya.
[75]
Kwa mfano,
Sri Lanka
ilikuwa na
kiwango
cha
vifo vya mama wajawazito
cha asilimia 2 katika
miaka ya 1930
idadi kubwa zaidi ikilinganishwa na
nchi
yoyote kwa sasa.
[76]
Kiwango hiki kilipunguka hadi kati ya asilimia 0.5 na asilimia 0.6 katika
miaka ya 1950
na asilimia 0.06 hivi sasa
[76]
Hata hivyo, Sri Lanka ilikuwa ikitumia pesa kidogo zaidi kwa
afya ya uzazi
kwa kuwa ilishajifunza njia mwafaka za kukabiliana na matatizo hayo.
[76]
Ingawa hakuna ufahamu kuhusu manufaa ya kifedha yanayotokana na kutoa huduma za afya, mikakati ya kuwaelimisha watu imewekwa kama vile mipango iliyopewa kipaumbele ya kudhibiti magonjwa.
[5]
Archived
6 Aprili 2006 at the
Wayback Machine
. Kuwaelimisha watu kuhusu umuhimu wa kuosha mikono ni moja kati ya mikakati ya afya isiyo na gharama na inaweza kupunguza
vifo
vinavyotokana na magonjwa yanayowaathiri watoto kama vile
kuhara
na
nimonia
kwa asilimia 50.
[77]
Mtaji wa binadamu, kwa kupitia elimu, ni kipengee muhimu zaidi kinachoathiri ukuaji wa uchumi kushinda mtaji wa vitu vinavyoonekana na kushikika.
[11]
Wanauchumi wa Umoja wa Mataifa wanasema ya kuwa miundomsingi bora kama vile barabara na mtandao wa habari husaidia kufanikisha mabadiliko katika soko.
[78]
Nchi ya Uchina inasema ya kuwa inafanya uwekezaji katika reli, mabarabara, bandari na simu katika maeneo ya mashambani barani Afrika kama sehemu ya mbinu zake za kuhakikisha maendeleo ya kiuchumi.
[78]
Hapo awali, teknolojia ya
mtambo unaotumia mvuke
ndiyo iliyoanza kupunguza viwango vya umaskini. Teknolojia ya simu za mkononi inaleta soko kwa sehemu maskini au za mashambani. Kutokana na maarifa wanayoyapata, wakulima vijijini wanaweza kuzalisha
mimea
maalum ambayo watawauzia wanunuzi na kupata faida.
[79]
Teknolojia
kama hiyo pia inazifanya
huduma za kifedha
ziweze kupatikana kwa urahisi kwa watu maskini. Kwa wale wanaoishi katika hali ya umaskini, inasisitizwa kwamba wawe na sehemu zenye usalama wa kutosha ili waweze
kuweka akiba
badala ya kungojea
mikopo
.
[80]
Pia, kiwango kikubwa cha
mikopo kwa wafanyibiashara wadogo
kinatumika kwa bidhaa ambazo zinaweza kununuliwa kwa kutumia
fedha
zilizo katika
akaunti za akiba
.
[80]
Huduma za benki kupitia simu za mkononi
zimesaidia kutatua shida ya masharti mengi na ulipaji wa ada nyingi za kuendesha
akaunti za akiba
s.
[80]
Huduma za fedha kupitia
simu za mkononi
katika
nchi zinazoendelea
, na ambazo zimezipita
nchi zilizoendelea
katika nyanja hizi, inakadiriwa kuwa Dola bilioni tano kufikia mwaka
2012
.
[81]
Kampuni ya Safaricom
ilianzisha huduma inayojulikana kama
M-Pesa
mojawapo kati ya mfumo wa kwanza unaotumia mtandao wa maajenti, wengi wao wakiwa ni wenye duka, badala ya matawi ya
benki
kuchukua pesa taslimu zinazowekwa na
kuziweka katika akaunti
zilizoundwa katika
simu
za wateja hao. Shughuli za kutuma na kupokea
pesa
hufanywa kati ya
simu
za wanaohusika.
Ada ndogo
inatolewa, na hii inahakikisha usalama wa pesa zinazotumwa kutoka.
[82]
Wananchi kutoka kijiji cha Janabi wakingojea kukusanya bidhaa kutoka kwa Wana wa Iraq (Abna al-Iraq) katika oparesheni ya kijeshi iliyoandaliwa na kampuni ya kikundi kidogo cha tatu cha wanajeshi wa Charlie Company, kikundi kikubwa cha tatu cha 187 Infantry Regiment, Kitengo cha 101 cha Airbone, Yusufiah, Iraq, tarehe 2 Machi 2008. (Picha ya Jeshi la Amerika imepigwa na Spc Luke Thornberry)
Msaada unaweza kufafanuliwa kama mapato ya kimsingi ya ruzuku,aina ya mpango wa kijamii ambapo wananchi hupewa pesa baada ya muda uliotengwa. Katika miradi ya majaribio nchini
Namibia
, ambako mradi kama huu hulipa Dola 13 pekee kila mwezi, watu waliweza kulipa
karo ya shule
na hivyo idadi ya watoto walioenda shuleni ikapanda kwa asilimia 92, kiwango cha ukosefu wa lishe bora kwa watoto kulishuka kutoka asilimia 42 hadi asilimia 10, na shughuli za kiuchumi zikapanda kwa asilimia 10.
[83]
Msaada pia ulitolewa ikiwa kanuni fulani zilifuatwa.
Ugawaji wa fedha
kwa kufuata kanuni maalum imesifiwa na wengi kama njia mwafaka ya kukabiliana na umaskini. Fedha hutolewa tu baada ya kufuata kanuni fulani kama vile kuwapeleka watoto shuleni au kuhakikisha wa kuwa watoto wamechanjwa. Nchini
Mexico
, kwa mfano, ambayo ni nchi iliyo na mradi mkubwa zaidi kama huu, idadi ya wanafunzi wenye umri wa kati ya miaka 16 na 19 katika maeneo ya mashambani wanaojiondoa shuleni ilishuka kwa asilimia 20 na watoto waliripotiwa kurefuka kwa nusu inchi.
[84]
Hofu za hapo awali kuwa mradi huo ungehimiza familia kubaki nyumbani na kungojea msaada badala ya kufanya kazi zilibainika kuwa hazina msingi. Badala yake, kumerekodiwa vijisababu vichache zaidi vinavyotokana na kutojali, kwa mfano, watoto sasa hawawezi kuenda kuombaomba mitaani badala ya kuenda shuleni kwa hofu ya kuwa wakifanya hivi, watatolewa katika mpango huu.
[84]
Misaada kutoka kwa
mashirika yasiyo ya kiserikali
inaweza kuwa na ufanisi zaidi kuliko kiserikali unaweza kuwa bora zaidi kuliko ule wa serikali kwa kuwa mashirika haya yanawafikia maskini katika maeneo ya mashambani na yana usimamizi bora zaidi
[85]
Mojawapo kati ya njia zilizopendekezwa kusaidia nchi maskini ni ile ya msamaha wa
madeni
. Kutokana na hali ilivyo katika nchi nyingi ambazo hazijaendelea na zilizo na madeni makubwa ya benki na madeni ya serikali za nchi tajiri, na pia kutokana na riba ambayo zinapaswa kulipa kutokana na madeni haya (mara nyingi hupita kiwango cha fedha ambazo nchi hizi zinaweza kuzalisha kama faida kila mwaka kutokana na mauzo), kufutwa kwa madeni haya kwa kiasi fulani au kikamilifu kutawezesha mataifa haya “kujitoa shimoni”.
[86]
Nchi maskini zikiacha kutumia pesa zao kulipa madeni haya, zitaweza kutumia pesa hizo kwa mambo muhimu zaidi yanayosaidia kupunguza umaskini kama vile kutoa huduma za kimsingi za afya na elimu.
[87]
Mataifa mengi yalianza kutoa huduma, kama vile huduma za bure za afya kuanzia hapo awali ingawa miundombinu ya afya haingehimili hayo. Yaliweza kufanya hivi kutokana na akiba za awamu kadhaa za
kusamehewa madeni
mwaka
2005
.
[88]
Mojawapo ya mbinu mpya zinazopendwa za kiteknolojia zinazohakikisha ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini ni mikopo midogo iliyoanzishwa na
Benki ya Grameen
mwaka wa 1976 nchini Bangladesh. Dhana hapa ni kuwapa wakulima au vijiji mikopo midogo ili waweze kununua vitu wanavyovihitaji ili kuogeza mapato yao. Mfano maalum ni ule wa Benki ya Watu ya serikali ya
Uthai
inayotoa mikopo ya kati ya Dola 100 na 300 kuwasaidia wakulima kununua vifaa au mbegu, kuwasaidia wauzaji wa mtaani kununua bidhaa za kuuza au kuwawezesha wengine kufungua maduka madogo. Pia, biashara ndogo ndogo katika Jamhuri ya Dominika ni kuwawezesha wanawake wengi kupata ajira na kulipwa mapato yao wenyewe.
[89]
Wakati kuendeleza mwanamke na msimamo wake wa kaya kiuchumi, microloans kuwawezesha wanawake na kuwawezesha voice maoni yao katika kaya ujumla maamuzi.
[89]
Watu wengine wanasema ya kuwa kupokea misaada kutoka nchi za Ulaya kila mara huongeza umaskini na ukosefu wa usawa katika jamii kwa kuwa misaada hii huandamana na vikwazo vinavyoathiri vibaya uchumi wa nchi zinazopokea msaada,
[90]
au kwa kuwa inaandamana na uagizaji wa bidhaa kutoka nchi wafadhili bila kuzingatia kuwa bidhaa hizo zingepatikana kwingineko kwa bei nafuu,
[91]
au kwa kuwa msaada wa kigeni unaonekana kuwa unafaidi zaidi nchi wafadhili kuliko nchi inayopokea msaada.
[92]
Wakosoaji pia wanasema ya kuwa sehemu ya msaada kutoka nchi za nje huibwa na serikali na maafisa
wafisadi
na kuwa kuongeza kiwango cha msaada kunaharibu ubora wa uongozi. Sera huelekezwa zaidi upande wa mbinu za kupata pesa zaidi za msaada kuliko kukidhi mahitaji ya wananchi.
[93]
Wale wanaounga mkono msaada wanasema ya kuwa matatizo haya yanaweza kutatuliwa kwa kuweka mbinu bora za
ukaguzi
wa namna pesa hizi zinatumika.
[93]
Kampeni za chanjo kwa watoto kama vile
polio
ugonjwa wa kuambukizwa wa koo
na
ugonjwa wa surua
zimeokoa mamilioni ya watu.
[62]
Taasisi zinazoendeshwa vizuri bila
ufisadi
na zinazofuata
sheria
huunda na kuweka sheria zinazolinda usalama wa mali na biashara. Serikali za haki zinazoendeshwa vizuri zinapaswa kufanya uwekezaji katika miradi ya kitaifa inayochukua muda mrefu badala ya kupora mali kwa njia ya ufisadi.
[11]
Wachunguzi katika
Chuo Kikuu cha California Berkely
waliunda walichokiita “Kipimo cha Weberianness” ambacho hupima vipengee mbalimbali vya
urasimu na serikali
ambavyo
Max Weber
alisema kuwa ni muhimu zaidi kwa serikali iliyoendeshwa kwa
misingi ya fikira
zinazokubalika na sheria zaidi ya miaka 100 iliyopita. Uchunguzi linganishi umeonyesha ya kuwa kipimo hiki kina uhusiano na vipimo vya juu vya maendeleo ya kiuchumi.
[94]
Wakifuata dhana yao inayofuata mkondo sawa na huu ya uongozi bora, wachunguzi kutoka
Benki ya Dunia
wamepata matokeo yanayofanana: Takwimu kutoka nchi 150 imeonyesha kuwa viwango kadhaa vya kukadiria uongozi bora (kama vile uwajibikaji, ufanisi, utawala wa kisheria, kiwango cha chini cha ufisadi) vina uhusiano na viwango vya juu vya maendeleo ya kiuchumi.
[95]
Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa
(
UNDP
) ulichapisha ripoti mnamo Aprili 2000 kuhusu uongozi bora katika mataifa maskini kama njia kuu ya kuhakikisha maendeleo ya kiuchumi na kuushinda ubinafsi wa tabaka la matajiri ambao huwa na ushawishi mkubwa katika nchi hizo. Ripoti hiyo inamaliza kwa kusema ya kuwa “Bila ya
utawala bora
, mataifa haya yakiendelea kutegemea mtindo wa maendeleo ya kiuchumi yanayotokana na msaada kutoka juu na yanayotiririka mashinani na mbinu zingine, hayatafaulu.”
[96]
Mifano ya nchi zilizo na uongozi bora unaoleta maendeleo ya kiuchumi na kupunguza umaskini ni kama
Thailand
,
Taiwan
,
Malaysia
,
Korea ya Kusini
na
Vietnam
, ambazo kwa kawaida huwa na serikali thabiti. Nchi hizo zina nia na uwezo wa kuunda na kuweka sera zitakazoleta maendeleo ya muda mrefu yatakayowasaidia wananchi wote, si tu matajiri. Kampuni za kimataifa hudhibitiwa ili kuhakikisha ya kuwa zinafuata kanuni zinazofaa kuhusu
malipo na ajira
ya wafanyakazi, zinatozwa ushuru kwa kiwango kinachofaa ili kuleta maendeleo nchini na sehemu ya faida hubaki katika nchi hizo.Faida hii huwekezwa tena ili kusaidia katika maendeleo ya nchi. Katika mwaka wa 1975, nchi ya Korea Kusini ilikuwa na
Pato la chini la Kitaifa
kwa kila mtu ikilinganishwa na
Ghana
,
[97]
na kufikia mwaka wa 2008, ilikua kwa kiwango cha mara 17 ya kile cha Ghana.
[98]
Fedha kutoka misaada na maliasili mara nyingi hugeuzwa na kuwekwa katika mikono ya watu binafsi na baadaye hupelekwa katika
benki
zilizo katika nchi za nje kutokana na ufisadi.
[99]
Ikiwa
benki
za Ulaya zingekataa kuweka pesa zilizoibwa, kulingana na ripoti ya shirika la
Global Witness
, watu wa kawaida wangefaidika “kwa njia ambayo misaada ya kifedha haiwezi kufikia”.
[99]
Ripoti hiyo ilipendekeza kuwekwa kwa sheria zinazoratibisha benki kwani hii inaweza kuwa njia bora ya kukatiza utumaji wa pesa za
kigaidi, fedha chafu
au
kukosa kulipa ushuru
.
[99]
Umaskini hupimwa mara nyingi kama
umaskini uliokithiri
na
umaskini wa kadri
(cha mwisho kikiwa kipimo cha kutokuwa na usawa katika kiwango cha mapato). Umaskini uliokithiri unaashiria kipimo kilichowekwa ambacho hakibadiliki kamwe na ni sawa katika mataifa yote.
Benki ya Dunia
inafafanua umaskini uliokithiri kama kuishi kwa chini ya dola moja ya Marekani (uwezo wa ununuzi) kwa siku, na umaskini wa kadri kama kuishi kwa na chini ya dola mbili kwa siku. Inakadiria kuwa “mwaka 2001, watu bilioni 1.1 walikuwa na matumizi ya chini ya dola moja kwa siku na watu bilioni 2.7 walitumia chini ya dola mbili kwa siku.”
[100]
Watoto milioni sita hufa kwa njaa kila mwaka-17,000 kila siku.
[101]
Idadi ya watu katika
mataifa yanayoendelea
wanaoishi katika umaskini uliokithiri ilishuka kutoka asilimia 28 mwaka 1990 hadi asilimia 21 mwaka 2001.
[100]
Mengi ya maendeleo haya yametokea
Mashariki
na
Kusini mwa Asia
.
[102]
Kuhusu Asia Mashariki, Benki ya Dunia iliripoti kuwa “idadi ya watu walioishi kwa dola mbili kwa siku ilikadiriwa kushuka hadi asilimia 27 mwaka wa
2007
, kutoka asilimia 29.5 mwaka wa 2006 na asilimia 69 mwaka wa
1990
.”
[103]
Katika eneo la Afrika
Kusini kwa Sahara
umaskini uliokithiri ulipanda kutoka asilimia 41 mwaka 1981 hadi asilimia 46 mwaka 2001, ambao ukiungana na ongezeko la idadi ya watu, uliongeza idadi ya watu wanaoishi katika umaskini kutoka milioni 231 hadi milioni 318.
[104]
Mwanzoni mwa miaka ya 1990, baadhi ya nchi za
Mashariki ya Ulaya
na
Asia ya Kati
zilizokuwa na uchumi wa mpito, zilikabiliwa na kushuka kwa mapato kwa kiasi kikubwa.
[105]
Kuanguka kwa
Umoja wa Kisovyeti
kulisababisha kushuka kwa Pato la Kitaifa kwa kiwango kikubwa cha kati ya asilimia 30 na 35 kati ya mwaka wa 1990 na 1998 (ilipokuwa katika kiwango cha chini zaidi). Kutokana na hayo, viwango vya umaskini vilipanda, ingawa katika miaka ya baadaye, viwango vya mapato vilipoanza kupanda tena, viwango vya umaskini vilishuka kutoka asilimia 31.4 ya idadi ya watu hadi asilimia 19.6.
[106]
[107]
Takwimu za Benki ya Dunia zinaonyesha kuwa sehemu ya wananchi wanaoishi katika jamii zilizo na mapato yaliyo chini ya kiwango cha umaskini imeshuka katika kila eneo la dunia tangu mwaka 1990:
[108]
[109]
Eneo
|
1990
|
2002
|
2004
|
Asia ya Mashariki na Pacific
|
15.40%
|
12.33%
|
9.07%
|
Ulaya na Asia ya Kati
|
3.60%
|
1.28%
|
0.95%
|
Amerika Kusini na Caribbean
|
9.62%
|
9.08%
|
8.64%
|
Mashariki ya Kati na Kaskazini mwa Afrika
|
2.08%
|
1.69%
|
1.47%
|
Asia Kusini
|
35.04%
|
33.44%
|
30.84%
|
Afrika Kusini kwa Sahara
|
46.07%
|
42.63%
|
41.09%
|
Ishara zingine za maendeleo pia zimekuwa zikiendelea kufanya vyema.
Matarajio ya miaka ya kuishi
pia yameongezeka kwa kiwango kikubwa katika nchi zinazoendelea tangu
Vita vya Pili vya Dunia
na yameanza kukaribia yale ya nchi zilizoendelea.
Vifo vya watoto
vimepungua katika maeneo yote yanayoendelea duniani.
Idadi ya watu duniani wanaoishi katika mataifa ambapo mgao wa chakula uko chini ya kalori 2,200 (
Kilojuli
9200) kwa siku ilipungua kutoka asilimia 56 katikati ya miaka ya 1960 hadi chini ya asilimia 10 kufikia
miaka ya 1990
. Mienendo sawa na huo wa awali ilirekodiwa katika
elimu
, usambazaji wa
maji safi
na
umeme
na bidhaa za msingi zinazotumiwa na wanunuzi.
[110]
Vipimo hivi vimekosolewa na watu mbalimbali.
[111]
Shaohua Chen
na
Martin Ravallion
wanasema kuwa ingawa “ni wazi ya kuwa idadi ya watu fukara imeshuka... bila usawa katika maeneo yote... nchi zinazoendelea mbali na Uchina na India hazijafaulu kupunguza kwa kiwango cha maana idadi ya watu maskini. Kutokana na ongezeko la idadi ya watu duniani, idadi isiyobadilika ya watu maskini ingehusishwa na kiwango kinachopungua."
Tukitazama idadi ya wanaoishi kwa chini ya Dola moja kwa siku, bila kuhesabu Uchina na India, tunaona ya kuwa idadi hii ilipunguka kutoka asilimia 31.35 hadi 20.70 kati ya mwaka wa 1981 na 2004.
[112]
Ripoti ya 2007 ya Benki ya Dunia inayoitwa "Global Economic Prospects" inatabiri kuwa kufikia mwaka wa 2030, idadi ya watu watakaokuwa wakiishi kwa chini ya Dola moja kwa siku itakuwa imepungua kwa nusu, hadi watu milioni 550. Mwananchi wa kawaida anayeishi katika kile tulichokiita
dunia ya tatu
ataishi vyema sawa na namna ambavyo wananchi wa
Ucheki
na
Slovakia
wanavyoishi leo. Nchi nyingi za Afrika zitakuwa na matatizo ya kujaribu kufikia nchi nyingine zinazoendelea na hata ikiwa hali itabadilika kikamilifu, ripoti hii inaonya ya kuwa kufikia 2030, Afrika itakuwa na idadi kubwa zaidi ya watu maskini kuliko hali ilivyo sasa.
[113]
Sababu za ukuaji wa uchumi katika
Mashariki mwa Asia
na
Asia ya Kusini
zinatokana na kutoendelea kwao ikilinganishwa na maeneo mengine. Hii ni kulingana na nadharia ya kuja pamoja au nadharia ya sharti la kukusanyika pamoja. Kwa kuwa uchumi wa nchi hizi ulianza kupata usasa baada ya mataifa tajiri, uliweza kufaidika kwa kuiga maendeleo ya kiteknolojia yatakayouwezesha kuwa na viwango vikubwa zaidi vya uzalishaji ambavyo vimeundwa kwa karne nyingi katika mataifa tajiri.
Umaskini wa kadri huangalia umaskini kama inavyoelezwa na jamii na unategemea muktadha wa kijamii, kwa hiyo umaskini wa kadri ni kiwango cha ukosefu wa usawa katika mapato. Kwa kawaida, umaskini wa kadri hupimwa kwa kuchukua idadi ya watu walio na mapato madogo zaidi ikilinganishwa na kiwango cha kawaida cha mapato. Kuna njia zingine tofauti za kupima
ukosefu wa usawa wa mapato
, kwa mfano
Mgao wa Gini
na
Kipimo cha Theil
.
Makadirio ya umaskini wa kadri hutumika kama viwango maalum vya kupima kiwango cha umaskini katika mataifa mengi yaliyoendelea. Takwimu hizi za umaskini hupima kutokuwa sawa badala ya ukosefu wa mali au shida. Vipimo hivi huwa vinafanywa kwa msingi wa mapato ya mtu binafsi ya kila mwaka na haviangalii ujumla wa mali.
Kiwango cha umaskini
kinachotumika katika mataifa wanachama wa
OECD (Shirika la Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo)
na
Muungano wa mataifa ya Ulaya
ni yale yaliyo na misingi yake katika “umbali wa kiuchumi”, kiwango cha mapato kikiwa ni asilimia 60 ya mapato ya kadri ya kila nyumba.
[114]
Eneo la mabanda mjini Mumbai, India. Asilimia 60 ya wakazi wa Mumbai wapatao milioni 18 wanaishi katika maeneo ya mabanda.
[115]
Vipengee vya uchumi vya umaskini vinajihusisha na mahitaji ya kifedha, na hasa yale yanayohitajika katika maisha ya kila siku kama vile
chakula
, mavazi, nyumba, au
maji salama
. Umaskini, kwa mtazamo huu, unaweza kueleweka kama hali ambapo mtu au jamii inakosa mahitaji ya msingi inayohitaji ili kuishi vizuri na kuwa na maisha bora, hasa kutokana na ukosefu wa mapato unaoendelea.
Udadisi wa vipengee vya kijamii vya umaskini unaonyesha kuwa kuna uhusiano kati ya umaskini na ugawaji raslimali na mamlaka katika jamii na inaonyesha kuwa umaskini unaweza kuwa unatokana na upungufu wa “uwezo” wa watu kuishi maisha ambayo wangeyapendelea.
[116]
Vipengee vya kijamii vya umaskini ni pamoja na
ukosefu wa habari
, elimu, huduma za afya]] au
mamlaka ya kisiasa
.
[117]
[118]
Umaskini pia unaweza kueleweka kama kipengee kinacholeta tofauti za kitabaka
katika jamii
na ukosefu wa usawa katika uhusiano wa kijamii, unaojitokeza kwa njia ya kutengwa katika jamii, kuwategemea wengine na kupunguka kwa uwezo wa kujihusisha au kuendeleza uhusiano wa maana na watu wengine katika jamii.
[119]
[120]
[121]
Uchunguzi wa Benki ya Dunia wa “Sauti za Wanyonge”, ambao ilifanya uchunguzi kati ya watu maskini 20,000 katika mataifa 23, unaorodhesha mambo kadhaa ambayo watu maskini wametambua kuwa na uhusiano na umaskini.
[122]
Hayo ni pamoja na:
- Maisha ya kutojali
- Maeneo yaliyotengwa
- Vikwazo vya kimaumbile
- Uhusiano kati ya wake na waume
- Matatizo katika uhusiano wa kijamii
- Ukosefu wa usalama
- Utumiaji mbaya wa mamlaka
- Kuondoa mamlaka katika taasisi
- Uwezo uliowekewa vizuizi
- Mashirika ya kijamii yasiyo na uwezo wa kutosha
David Moore, katika kitabu chake
Benki ya Dunia,
anasema ya kuwa udadisi mwingine wa umaskini unaonyesha dharau, na wakati mwingine ubaguzi wa rangi, na mtazamo mbaya kwa watu maskini unaowaonyesha kama watu wanyonge wanaongojea tu kupokea msaada.
[123]
Camden, New Jersey
ni moja ya majimbo maskini zaidi ya Marekani.
Ufukara uliokithiri, neno ambalo lilivumbuliwa na Michael Lipton,
[124]
unaashiria hali ya kuhesabiwa kati ya watu maskini zaidi kati ya jamii maskini katika nchi zenye mapato madogo. Lipton alieleza ufukara uliokithiri kama kupokea chini ya asilimia 80 ya kiwango cha chini zaidi cha kalori kinachopaswa kuchukuliwa na mwili na wakati huo huo kutumia zaidi ya asilimia 80 ya mapato kununua chakula. Kwa upande mwingine, ripoti moja ya 2007 iliyotolewa na Taasisi ya Kimataifa ya Uchunguzi kuhusu sera ya Chakula ilifafanua ufukara uliokithiri kama kuishi kwa chini ya senti 54 kwa siku.
[125]
Shirika lisilo la kiserikali la BRAC
limeanzisha mradi unaoitwa “Kuwalenga wanaoishi katika ufukara uliokithiri” unaonuia kutatua ufukara uliokithiri kwa kufanya kazi pamoja na wanawake fukara kwa kiwango binafsi.
[126]
"'Tis the gift to be simple,
'tis the gift to be free,
'tis the gift to come down where you ought to be,
And when we find ourselves in the place just right,
It will be in the valley of love and delight."
|
?Shaker song.
[127]
|
Kati ya watu wengine, kama vile
watawa
, umaskini unachukuliwa kuwa jambo linalohitajika na kutamanika, na linapokewa kwa
mikono
miwili ili kuweza kufikia kiwango fulani cha kiroho, kitabia au kiakili.
Umaskini hueleweka kuwa kiungo muhimu cha kuachana na mambo ya
dunia
katika
dini
kama vile
Ubuddha
(kwa watawa pekee, si kwa wafuasi wengine) na wafuasi wa
Ujaini
, ilhali kwa
Wakatoliki
hii ni moja kati ya
mashauri ya Kiinjili
.
Mashirika kadhaa huwa na
nadhiri
ya kuishi katika hali ya ufukara. Kwa mfano
itikadi
za wafuasi wa
Mtakatifu
Fransisko wa Asizi
zinapinga umiliki wowote wa
mali
katika ngazi ya mtu binafsi au katika
jumuia
.
Ingawa umiliki wa mali na bidhaa haukubaliwi kwa wafuasi wa Mtakatifu
Benedikto wa Nursia
, kufuatia
kanuni ya Mt. Benedikto
,
monasteri
zimekubaliwa kumiliki mali na
pesa
na
historia
inaonyesha kuwa makao kadhaa ya watawa hao yalikusanya mali nyingi mno.
Katika
muktadha
huo wa
nadhiri
za kitawa, umaskini unaeleweka kama njia ya kujinyima ili kuhudumia wengine. Mwaka wa
1217
Papa Honorius III
aliandika kwamba wafuasi wa Mtakatifu
Dominiko Guzman
"waliishi maisha ya umaskini wa hiari, wakijitia hatarini na kuteseka, ili wengine wapate kuokolewa”.
Kufuatia
tahadhari
ya
Yesu
kuwa mali ni kama
miiba
ambayo huzuia
mbegu
nzuri ya Neno la Mungu kukua (
Math
13:22) umaskini wa hiari unaeleweka na
Wakristo
kama jambo lenye faida kuu kwa mtu binafsi - njia ya
kujiadilisha
ambapo mtu hujitenga na vitu vingine vinavyovutia fikira zake na kumtenganisha na
Mungu
.
Mtazamo wa mifumo mbalimbali duniani
[
hariri
|
hariri chanzo
]
Mtazamo wa mifumo ya kidunia unatabiri ya kuwa mataifa yanayoendelea hayataweza kukua ipasavyo kiuchumi katika miaka ijayo ikiwa bado yana
uwekezaji
mkubwa wa
makampuni ya kimataifa
kutoka nchi zilizoendelea. Ingawa kuna tofauti kati ya mataifa hayo yanayoendelea, chunguzi kadhaa zilizofanywa na wanasosholojia zimeonyesha kuwa mengi ya mataifa yanayoendelea yaliyo na uwekezaji mkubwa kutoka mataifa yaliyoendelea yana ukuaji mdogo zaidi wa kiuchumi kwa muda mrefu.
[128]
[129]
[130]
[131]
[132]
[133]
[134]
Hata hivyo, uchunguzi huo wote ulifanywa zaidi ya miaka ishirini iliyopita na ulitumia njia mbovu za kupata takwimu. Utafiti uliofanywa hivi karibuni unaonyesha kuwa kwa ujumla uwekezaji wa moja kwa moja wa kigeni hufaidi nchi pokezi ingawa athari zake si sawa kila mahali. Kutegemea sifa za nchi nyingine, huenda uwekezaji wa nchi za kigeni usiwe na athari yoyote, nzuri au mbaya, kwa maendeleo.
[135]
[136]
Nadharia za mfumo wa kidunia zinaonyesha ya kuwa sera bora zaidi inayoweza kufuatwa na nchi yoyote ni ile ya
autarkia
ama kufanya biashara na mataifa mengine yanayoendelea pekee. Hata hivyo, mataifa makubwa yaliyofuata sera hiyo kama vile Uchina na India kabla ya mwaka wa 1980 yalishuhudia kuzorota kwa uchumi na kuongezeka kwa umaskini. Baadhi ya mataifa ya Amerika ya Kusini ambayo pia yalijaribu kutegemea sera hiyo ya maendeleo kwa kutumia mtazamo wa ndani pia yalipata matokeo sawa na hayo.
[137]
Inaonekana kuwa kuna sababu nyingi za athari mbaya ya utawala wa mataifa tajiri. Sababu kuu ni tatizo la
kupotoka kwa miundo.
Katika uchumi ambao haujapotoka
maliasili
huzindua mfululizo wa shughuli zinazoleta faida,
nafasi za kazi
na
ukuaji
. Tutachukua mfano wa nchi iliyoendelea na iliyo na idadi kubwa ya madini ya
shaba
ardhini. Nafasi za kazi zinapatikana na faida inatengenezwa kwanza kutokana na uchimbaji wa madini ya shaba. Kisha nafasi nyingine za kazi na faida zaidi inapatikana wakati shaba inapotengenezwa kuwa
chuma
na bidhaa hizi kuuzwa na kampuni
ndogo ndogo
, ,ambazo pia zinaongeza nafasi za kazi na faida. Kutokana na mchakato huu wote, kuna mfululizo wa nafasi za kazi na faida ambazo huleta ukuaji wa kiuchumi pamoja na mapato ambayo yanaweza kutumika kuendeleza nchi kwa ujenzi wa vitu kama
barabara
,
umeme
na
taasisi za mafunzo
. Lakini shaba ikichimbwa katika nchi inayoendelea na iliyo na uhusiano na nchi iliyoendelea, madini hayo yanapelekwa kwa nchi iliyoendelea ambako mfululizo wa kuitengeneza unamalizikia. Nafasi za kazi zilizosalia na faida zote zinzotokana na mfululizo wa shughuli hizi zinapotelea katika nchi zilizoendelea. Huu ni mfano wa kupotoka kwa miundo.
[128]
Athari nyingine ni ile ya kuvurugwa kwa
ukulima
. Kabla ya kuanzishwa kwa mfumo wa kisasa wa dunia, ukulima ulikuwa unafanywa ili kukidhi mahitaji ya kijamii, na kulikuwa hakuna haja ya kutumia mbinu za kilimo za kupunguza kiwango cha ajira. Kutokana na mbinu hizi za awali na ukosefu wa soko kubwa kwa bidhaa, chakula kilikuwa kinauzwa kwa bei ya chini zaidi, sehemu ya mashamba iliachiwa
wakulima wadogo
, na nafasi za kazi zilikuwa nyingi zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukulima wa mauzo katika nchi za nje na mbinu za kupunguza kiwango cha ajira kwa ukulima, chakula kimekuwa ghali zaidi, wakulima wadogo wanafukuzwa kutoka kwa mashamba ili nafasi zaidi ya kukuza bidhaa za kuuzwa katika soko la dunia ipatikane, na mashine zaidi zinatumiwa kufanya kazi, na hivyo kusababisha upungufu wa nafasi za kazi. Faida zinakiendea kikundi kidogo cha wanaomiliki ardhi na kampuni za kimataifa za kilimo, huku wasiomiliki ardhi wakipoteza kazi zao, ardhi, na mapato ambayo yananawazuia kuwa wanunuzi wanaohitajika kuhakikisha kukua kwa uchumi. Tatizo la tatu kwa mataifa yanayoendelea ni
mizozano ya kitabaka
.
Tabaka la wenye uwezo wa kiuchumi na kisiasa
katika mataifa yanayoendelea huwakaribisha zaidi watu kutoka tabaka la watu wanaomiliki makampuni kwa kuwa wanajua ya kwamba kampuni hizi zinafanya uwekezaji katika nchi zao kutokana na gharama ya chini ya
ajira
kiwango cha chini cha ushuru kutokuwa na
vyama vya wafanyakazi
, na mambo mengine kama vile sheria dhaifu za mazingara, ambazo zinajali zaidi masilahi ya makampuni hayo ya kimataifa.
- ↑
"Poverty | United Nations Educational, Scientific and Cultural Organization"
.
www.unesco.org
. Iliwekwa mnamo
2015-11-04
.
- ↑
"Poverty"
.
Poverty
. merriam-webster
.
http://www.merriam-webster.com/dictionary/poverty
. Retrieved 18 November 2013
.
- ↑
Sabates, Ricardo
(2008).
"The Impact of Lifelong Learning on Poverty Reduction"
(PDF)
.
IFLL Public Value Paper 1
. Latimer Trend,Plymouth,UK: 5?6.
ISBN
978 1 86201 3797
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
(PDF)
mnamo 2015-05-28
. Iliwekwa mnamo
2016-01-31
.
- ↑
"Global Monitoring Report; Development Goals in an Era of Demographic Change"
(PDF)
. www.worldbank.org/gmr
. Iliwekwa mnamo
4 Nov
2015
.
{{
cite web
}}
: CS1 maint: date auto-translated (
link
)
- ↑
"World Bank Forecasts Global Poverty to Fall Below 10% for First Time; Major Hurdles Remain in Goal to End Poverty by 2030"
. Worldbank.org. 2015-10-04
. Iliwekwa mnamo
2016-01-06
.
- ↑
Jason Hickel (30 March 2015).
It will take 100 years for the world’s poorest people to earn $1.25 a day
.
The Guardian
.
Retrieved 31 March 2015.
- ↑
"World Bank Sees Progress Against Extreme Poverty, But Flags Vulnerabilities"
. The World bank. 29 Februari 2012.
{{
cite web
}}
: CS1 maint: date auto-translated (
link
)
- ↑
"Poverty and Equity - India, 2010 World Bank Country Profile"
. Povertydata.worldbank.org. 30 Machi 2012
. Iliwekwa mnamo
26 Julai
2013
.
{{
cite web
}}
: CS1 maint: date auto-translated (
link
)
- ↑
Ernest C. Madu.
"Investment and Development Will Secure the Rights of the Child"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2014-04-13
. Iliwekwa mnamo
2016-01-31
.
- ↑
Stephen Haymes, Maria Vidal de Haymes and Reuben Miller (eds),
The Routledge Handbook of Poverty in the United States
,
(London:
Routledge
, 2015),
ISBN 0415673445
,
p. 1 & 2
.
- ↑
11.0
11.1
11.2
11.3
Krugman, Paulo, na Robin Wells. Macroeconomics. 2. New York: Worth Publishers, 2009. Print.
- ↑
"Anti-Corruption Climate Change: it started in Nigeria ".
Umoja wa Mataifa wa Ofisi ya Madawa ya Kulevya na Uhalifu (
UNODC
).
- ↑
"Nigeria: The Hidden Cost of Corruption".
Public Broadcasting Service (PBS).
- ↑
Global Competitiveness Report
2006, World Economic Forum,
Website
- ↑
Infrustructure and Poverty Reduction: Cross-country evidence
Hossein Jalilian na Yohana Weiss. 2004.
- ↑
"Brain drain in Africa"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2010-05-10
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
Students 'exodus costs India forex outflow of $ 10 bn: Assocham
Archived
14 Machi 2010 at the
Wayback Machine
., Thaindian News, 26 Januari 2009
- ↑
Hunger and Malnutrition
Archived
25 Oktoba 2006 at the
Wayback Machine
. imeandikwa na Jere R Behrman, Harold Alderman na Yohana Hoddinott.
- ↑
"
"U.S. Chamber of Commerce Fact Sheet "
"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2006-12-14
. Iliwekwa mnamo
2007-01-17
.
- ↑
Economic costs of AIDS
Archived
23 Machi 2010 at the
Wayback Machine
.
- ↑
The Economic and Social Burden of malaria
- ↑
https://web.archive.org/web/20050430093247/http://www.wpro.who.int/media_centre/press_releases/pr_20020916.htm
Poverty Issues Dominate WHO Regional Meeting]
- ↑
"Wars cost Africa $ 18 billion US a year : report".
CBC News. 11 Oktoba 2007.
- ↑
" Will arms ban slow war?".
BBC News. 18 Mei 2000.
- ↑
"Ending Poverty in Community (EPIC)"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2011-03-09
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
UN report slams India for caste discrimination
- ↑
Moore, Wilbert. 1974.
Social Change.
Englewood Cliffs, NJ: Prentice Hill.
- ↑
Parsons, Talcott. 1966.
Societies : Evolutionary and Comparative Perspectives.
Englewood Cliffs, NJ: Prentice Hall.
- ↑
Kerbo, Harold. 2006
Social Stratification and Inequality : Class Conflict in Historical , Comparative, and Global Perspective,
toleo la 6, New York: McGraw-Hill.
- ↑
The cost of food : Facts and figures
- ↑
Riots and hunger as demand for grain sends food costs soaring
- ↑
Already we have riots, hoarding panic : the sign of things to come?
- ↑
100 million at risk from rising food costs
- ↑
"Global Water Shortages May Cause Food Shortages"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2007-07-04
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
Vanishing Himalayan Threaten a Billion
- ↑
"Big melt threatens millions , says UN"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2007-08-19
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
Exploitation and Over- exploitation in Societies Past and Present ,
Brigitta Benzing, Bernd Herrmann
- ↑
"The Earth is Shrinking : Advancing Deserts and Rising Seas Squeezing Civilization"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2009-08-10
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
Global food crisis looms as climate change and population growth strip fertile land
- ↑
Hii ni kulingana na Chuo Kikuu cha
Umoja wa Mataifa
Institute for Natural Resources in Africa, chenye makao yake nchini Ghana.
Africa may be able to feed only 25% of its population by 2025
- ↑
"Philippine Medical Brain Drain leaves Public Health System in Crisis - VOA News, rudishwa 29 Mei 2008"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2007-11-17
. Iliwekwa mnamo
2007-11-17
.
- ↑
Birth rates 'must be curbed to win war on global poverty
Archived
19 Januari 2008 at the
Wayback Machine
. The Independent. 31 Januari 2007.
- ↑
Record rise in wheat price prompts UN to warn that surge in food prices may trigger social unrest in developing countries
- ↑
Demographic Transition
Archived
18 Oktoba 2012 at the
Wayback Machine
. na Keith Montgomery (inaonyesha jinsi ongezeko la idadi ya watu huathiriwa na kuongezeka kwa viwanda.)
- ↑
"The World Health Report, World Health Organization (See annex table 2)"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2020-09-24
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
Rising food prices curb aid to global poor
- ↑
1.02 billion people hungry .
Archived
17 Novemba 2012 at the
Wayback Machine
.
FAO
, 2009.
- ↑
Study : 744.000 homeless in United States
- ↑
Street Children
- ↑
Health warning over Russian youth
- ↑
"2008 Global Hunger Index Key Findings & Facts"
. 2008.
- ↑
"India: Undernourished Children: A Call for Reform and Action"
. World Bank. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2018-06-13
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
"Maternal mortality ratio falling too slowly to meet goal ".
WHO.
12 Oktoba 2007.
- ↑
"The causes of maternal death ".
BBC News. 23 Novemba 1998.
- ↑
55.0
55.1
55.2
Huston, AC (1991). Children in Poverty: Child Development and Public Policy. Cambridge:
Cambridge University Press.
- ↑
56.0
56.1
Solley, Bobbie A. (2005). When Poverty's Children Write: Celebrating Strengthts , Transforming Lives. Portsmouth, NH: Heinemann, Inc
- ↑
Atkins, MS, McKay, M., Talbott, E., & Arvantis, P. (1996). "DSM-IV diagnosis of conduct disorder and oppositional defiant disorder: Implications and guidelines for school mental health teams ,"
School Psychology Review,
25, 274-283. Akiongelea: Bell, CC, & Jenkins, EJ (1991). "Traumatic stress and children ,"
Journal of Health Care for the Poor and Underserved,
2, 175-185.
- ↑
Atkins, MS, McKay, M., Talbott, E., & Arvantis, P. (1996). "DSM-IV diagnosis of conduct disorder and oppositional defiant disorder: Implications and guidelines for school mental health teams "
School Psychology Review,
25, 274-283. Akiongelea: Osofsky, JD, Wewers, S., madhara, DM, & Fick, AC (1993). "Chronic community violence: What is happening to our children?"
Psychiatry,
56, 36-45; na, Richters, je, & Martinez, P (1993). "The NI" The NIMH community violence project: Vol. 1. Watoto Children as victims of and witnesses to violence,"
"Psychiatry,
56, 7-21.
- ↑
"chini ya njia za kiasili za uzalishaji wa kiuchumi, umaskini ulioenea imekubalika kama isiyoweza kuzuiwa. Idadi ya jumla ya bidhaa na huduma, hata vikigawanywa kwa njia ya usawa, bado hayatatosha kuwapa watu wote maisha bora kulingana na hali ilivyo. Hata hivyo, kutokana na uzalishaji wa kiuchumi uliotokana na ujengaji wa viwanda, hali hii ilibadilika. "
Encyclopedia Briannica
", "Umaskini"
- ↑
"Poverty -Climate change: Bangladesh facing the challenge"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2012-01-18
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
61.0
61.1
How to spread Democracy
- ↑
62.0
62.1
Why aid does work
- ↑
63.0
63.1
Land rights help fight poverty
- ↑
Can aid bring an end to poverty
- ↑
65.0
65.1
Ending famine by simply ignoring the experts
- ↑
Transition: The First Ten Years - Analysis and Lessons fro Eastern Europe and the Former Soviet Union ,
Benki ya Dunia, Washington, DC, 2002, uk. 4.
- ↑
"Study Finds Poverty Deepinening in Former Communist Countries ".
Jarida la New York Times. 12 Oktoba 2000.
- ↑
Child Poverty soars in eastern Europe
". BBC News. 11 Oktoba 2000.
- ↑
[
http://www.economist.com/research/articlesBySubject/displaystory.cfm?subjectid=894664&story_id=14586906
uhamiaji na maendeleo: Wafanyakazi wa msaada ambao kwa kweli walifanya kazi.
- ↑
Vogel, Ezra F. 1991.
The Four Little Dragons: The Spread of Industrialization in East Asia.
Cambridge, Mass :
Harvard University Press.
- ↑
"Market Access"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2013-10-05
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
"Market Trade Fair"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2013-07-24
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
Relaxed trade rules boost African Development
- ↑
Muscat, Robert J. 1994.
The Fifth Tiger: A Study of Thai Development.
Armonk, NY: M.E.Sharpe.
- ↑
"Disease Control Priorities Project"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2006-04-06
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
76.0
76.1
76.2
Saving millions for just a few dollars
- ↑
Millions mark UN hand washin day
- ↑
78.0
78.1
"China becomes Africa's suitor.Africa's suitor"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2020-06-12
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
Give cash not food
- ↑
80.0
80.1
80.2
http://www.time.com/time/business/article/0
, 8599,1918733,00. Html Microfinance's next steps : deposists
- ↑
http://news.bbc.co.uk/2/hi/technology/8100388.stm
Afrika inaanzisha benki zinazotumia simu za rununu
- ↑
http://news.bbc.co.uk/2/hi/business/8194241.stm
Benki za simu za rununu za Afrika
- ↑
http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/7415814.stm
wananchi wa Namibia wanapanga laini kupokea pesa ya bure.
- ↑
84.0
84.1
Latin America makes dent in poverty with conditional cash' programs.
- ↑
Does Foreign Aid Reduce Poverty ?
Empirical Evidence from Nongovernmental and Builateral Aid
- ↑
Benki ya Dunia na Shirika la Fedha Duniani. 2001.
Ripoti ya maendeleo ya nchi maskini zilizo na deni kubwa.
Ilitolewa kutoka
Worldbank.org.
- ↑
http://news.bbc.co.uk/2/hi/business/4081220.stm
kusamehewa kwa madeni kwa nchi za Kiafrika
- ↑
Zambia overwhelmed by free health care
- ↑
89.0
89.1
Grasmuck, Sherri na Espinal, Rosario. 2000. Mafanikio au Mwanamke soko Uhuru? Mapato, itikadi, na Uwezeshaji kati Microentrepreneurs katika Jamhuri ya Dominika. Society jinsia na 14 (2) :231-255.
- ↑
Haiti's rice farmers and poultry growers have suffered graetly since trade barriers were lowered in 1994. Na Jane Regan
- ↑
Tied Aid Strangling Nation , Says UN
Archived
23 Desemba 2010 at the
Wayback Machine
. na Thalif Deen
- ↑
US and Foreign Aid ,
GlobalIssues.org
- ↑
93.0
93.1
MYTH : More Foreign Aid Will End Global Poverty
- ↑
Evans, Peter,and James E. Rauch. 1999. "Beauraucracy and Growth : A Cross- National Analysis of the Effects of 'Weberian' State Structures on Economic Growth ."
American Sociological Review,
64:748-765.
- ↑
Kaufmann, D.; Kraay, A; Zoido-Lobaton, P.. "Governance Matters.".
World Bank Policy Research Working Paper no. 2196
. Washington DC.
- ↑
United Nations Development Report. 2000.
Overcoming Human Poverty: UNDP Poverty Report 2000.
New York: United Nations Publications.
- ↑
Laeding Article : Africa has to spend carefully.
Archived
24 Januari 2012 at the
Wayback Machine
. The Independent. 13 Julai 2006.
- ↑
[139] ^ Maktaba ya rejea kwa mwaka 2008. $ 26.341 BNP Korea, 1513 $ Ghana.
World Economic Outlook Database-Oktober 2008,
Shirika la Fedha la Kimataifa.
Ilipatikana tarehe 14 Februari 2009.
- ↑
99.0
99.1
99.2
Banks, grafts and development
- ↑
100.0
100.1
"The World Bank, 2007, Understanding Poverty"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2019-11-07
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
http://edition.cnn.com/2009/WORLD/europe/11/17/italy.food.summit/
- ↑
Shaohua Chen and Martin Ravallion, 2007, "How Have the World's Poorest Fared Since the Early 1980s?" Jedwali 3, uk 28.
[1]
Archived
10 Machi 2007 at the
Wayback Machine
.
- ↑
Benki ya Dunia, 14 Novemba 2007, 'East Asia Remains Robust Despite US Slow Down'
[2]
Archived
22 Machi 2011 at the
Wayback Machine
.
- ↑
The Independent, 'Birth rates must be curbed to win war on global poverty ', 31 Januari 2007
[3]
Archived
19 Januari 2008 at the
Wayback Machine
.
- ↑
"Worldbank.org feference"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2019-11-07
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
World Bank, Data and Statistics, WDI, GdF, & ADI Best Databases
- ↑
Study Finds Poverty Deepening in Former Communist Countries ,
New York Times, 12 Oktoba 2000
- ↑
World Bank 2007, Povcalnet Poverty Data
- ↑
Takwimu inaweza kuchukuliwa tena kwa kutumia meza zinazoonyesha maendeleo ya kibinadamu ya Benki ya Dunia ya 2007 na kutumia kiwango cha umaskini cha Dola 32.74 kwa mwezi katika mwaka wa 1993 Pato la kitaifa .
- ↑
World Development Volume 33, Issue 1, Januari 2005, Makala 1-19, Why Are We Worried About Income? ?
Archived
11 Oktoba 2007 at the
Wayback Machine
.
Nearly Everthing That Matters is Converging.
Archived
11 Oktoba 2007 at the
Wayback Machine
.
- ↑
"Institute of Social Analysis"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2010-06-29
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
Shaohua Chen and Martin Ravallion, 2007, "How have the World's Poorest Faired Since the 1980's?"
[4]
- ↑
World Bank has Good News About the Future,
Archived
4 Desemba 2008 at the
Wayback Machine
. na Andrew Cassel,
The Philadelphia Inquirer.
30 Desemba 2006
- ↑
Michael Blastland (2009-07-31).
"Just what is poor?"
. BBC NEWS
. Iliwekwa mnamo
2008-09-25
.
- ↑
Spiegel kwa mtandao. 28 Februari 2007.
- ↑
Amartya Sen, 1985, Commodities and Capabilities, Amsterdam, New Holland, cited in Siddiqur Rahman Osmani, 2004, Evolving Views on Poverty: Concept, Assessment, and Strategy ,
ADB.org
Archived
15 Agosti 2009 at the
Wayback Machine
.
- ↑
A Glossary for Social Epidemiology
Nancy Krieger, PhD,
Harvard School of Public Health
- ↑
"Journal of Poverty"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2012-05-12
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
H Silver , 1994, social exclusion and
social solidarity
, in International Labour Review, 133 5-6
- ↑
G Simmel, The Poor , Social Problems 1965 13
- ↑
P Townsend, 1979, Poverty in the UK , Penguin
- ↑
Voices of the Poor
- ↑
Kifungu kuhusu Sauti za Maskini katika kitabu cha David Moore kilichohaririwa na Benki ya Dunia: Development, Poverty, Hegemony (University of KwaZulu-Natal Press, 2007)
- ↑
Lipton, Michael (1986), 'Seasonality and ultra- poverty ', Sussex, IDS Bulletin 17.3
- ↑
International Food Policy Research Insitute , "The World's Most Deprived. Characteristics and Causes of Extreme Poverty and Hunger,” Washington: IFPRI Oktoba 2007
- ↑
Matin, Imran, et al,, "Crafting a Graduation Pathway for the Ultra-poor: Lessons and Evidence from a BRAC Programme,” Research and Evaluation Division Working Paper, BRAC, 2008 :
Research Papers in Economics
- ↑
"Simple Gifts"
. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka
chanzo
mnamo 2010-01-06
. Iliwekwa mnamo
2009-12-07
.
- ↑
128.0
128.1
Chase-Dunn, Christopher. 1975. "“The Effects of International Economic Dependence on Development and Inequality: A Cross-National Study.”
American Sociological Review,
40:720-738.
- ↑
Chase-Dunn, Christopher. 1989.
Global Formation: Structures of the World-Economy.
Oxford, England: Oxford University Press.
- ↑
Bornschier, Volker, and Christopher Chase-Dunn. 1985.
Transnational Corporations and Underdevelopment.
New York: Praeger.
- ↑
Bornschier, Volker, Christopher Chase-Dunn,and Richard Rubinson. 1978. "Cross-National Evidence of the Effects of Foreign Investment and Aid on Economic Growth and Inequality: A Survey of Findings and a Reanalysis ."
American Journal of Sociology,
84:651-683.
- ↑
Snyder, Daudi, na Edward Kick. 1979. "“Structural Position in the World System and Economic Growth, 1955-1970: A Multiple Analysis of Transnational Interactions.”
American Journal of Sociology,
84:1096-1128.
- ↑
Stokes, Randall, na Daudi Jaffee. 1982. "Another Look at the Export of Raw Materials and Economic Growth." American Sociological Review, 47:402-407.
- ↑
Nolan, Patrick D. 1983. "Status in the World Economy and National Structure and Development." International
Journal of Contemporary Sociology,
24:109-120.
- ↑
Theodore H. Moran, Edward M. Graham na Magnus Blomstrom, eds. "Does Foreign Direct Investment Promote Development?" Peterson Institute for International Economics, Mei 2005
Peterson Institute and
Archived
3 Desemba 2009 at the
Wayback Machine
.
IIE.com
Archived
9 Januari 2010 at the
Wayback Machine
.
- ↑
Carkovic, Maria V na Levine, Ross, Does Foreign Direct Investment Accelerate Economic Growth ? (Juni 2002).
University of Minnesota
Department of Finance Working Paper. Inapatikana
SSRN.com au DOI: 10.2139/ssrn.314924
- ↑
Smith na Todaro, "Economic Development". Addison-Wesley series in Ecnomics. 2006
- Agricultural Research, Livelihoods, and Poverty: Studies of Economic and Social Impacts in Six Countries
Ilihaririwa na Michelle Adato na Ruth Meinzen-Dick (2007),
Johns Hopkins University Press
Food Policy Report (Brief)
- World Bank, Can South Asia End Poverty in a Generation?
Archived
15 Aprili 2008 at the
Wayback Machine
.
- "Educate a Woman, You Educate a Nation" - South Africa Aims to Improve its Education for Girls
Archived
13 Desemba 2009 at the
Wayback Machine
. WNN - Women News Network. 28 Agosti 2007. Lys Anzia
- Anthony Atkinson.
Poverty in Europe 1998
- Betson, David M., and Jennifer L. Warlick "Alternative Historical Trends in Poverty." American Economic Review 88:348-51. 1998. in JSTOR
- Brady , David "Rethinking the Sociological Measurement of Poverty" Social Forces 81#3 2003, uk. 715?751 Online in Project Muse. Ufupisho: Inaangazia makosa ya vipimo maalum za Amerika; inaangalia maendeleo kadhaa ya kinadharia na kimbinu katika upimaji wa umaskini. Inasema ya kuwa vipimo vya kupima kiwango cha umaskini vinapaswa (1) kupima viwango vinavyotofautiana katika historia kwa ufanisi; (2) viwe linganishi, sio visivyoweza kulinganishwa; (3) kutazama umaskini kama kutengwa kijamii; (4) Kuangalia athari za kodi, uhamishaji na faida katika nchi; na (5) kujumuisha kina cha umaskini na ukosefu wa usawa kati ya watu maskini. Kisha, makala haya yanachambua masomo ya kisoshiolojia yaliyochapishwa tangu 1990 ili waweze kutazama maoni yao kwa vigezo hivi. Makala haya yanatetea vipimo vitatu mbadala vya umaskini: kipimo cha vipindi, kipimo kinachotunia nambari, na ujumla wa nambari zote. Mwisho, kwa kutumia
Uchunguzi wa mapato wa Luxembourg
, kinachunguza muundo wa mambo yanayojirudia baada ya majaribio kadhaa yanayotumia vipimo hivi vitatu, katika demokrasia za kibepari kutoka 1967 hadi 1997. Makadirio ya vipimo hivi vya umaskini yako wazi kwa wote.
- Buhmann, Brigitte, Lee Rainwater, Guenther Schmaus, na Timothy M. Smeeding. 1988. "Equivalence Scales, Well-Being, Inequality, and Poverty: Sensitivity Estimates Across Ten Countries Using the Luxembourg Income Study (LIS) Database." "Uhakiki wa Mapato na Mali 34:115-42.
- Cox, W. Michael, and Richard Alm.
Myths of Rich and Poor
1999
- Danziger, Sheldon H., and Daniel H. Weinberg "The Historical Record: Trends in Family Income, Inequality, and Poverty." Kurasa za. 18-50 katika
Confronting Poverty: Prescriptions for Change
ilihaririwa na Sheldon H. Danziger, Gary D. Sandefur, na Daniel. H. Weinberg. Russell Sage Foundation. 1994.
- Firebaugh, Glenn. "Empirics of World Income Inequality."
American Journal of Sociology
(2000) 104:1597-1630. katika JSTOR
- Gans, Herbert, J.
? Gans, Herbert, J., "The Uses of Poverty: The Poor Pay All",
Social Policy , Julai / Agosti 1971: uk. 20-24
- George, Abraham
,
Wharton Business School Publications - Why the Fight Against Poverty is Failing: A Contrarian View
- Gordon, David M.
. Theories of Poverty and Underemployment: Orthodox, Radical, and Dual Labor Market Perspectives.
1972.
- Haveman, Robert H.
Poverty Policy and Poverty Research
University of Wisconsin Press
1987.
- John Iceland;
Poverty in America :
A Handbook University of California Press, 2003
- Alice O'Connor; ; "Poverty Research and Policy for the Post-Welfare Era" Annual Review of Sciology , 2000
- Osberg, Lars, na Kuan Xu. "International Comparisons of Poverty Intensity: Index Decomposition and Bootstrap Inference.
" The Journal of Human Resources
2000. 35:51-81.
- Paugam, Serge. "Poverty and Social Exclusion: A Sociological View." Uk 41-62 katika
The Future of European Welfare,
imehaririwa na Martin Rhodes na Yves Meny, 1998.
- Pressman, Steven
,
Poverty in America: An Annotated Bibliography.
University Press of America and Scarecrow Press, 1994
- Rothman, David J., (mhariri). "The Almshouse Experience", katika mfululizo
Poverty,U.S.A The Historical Record
1971.
ISBN 0-405-03092-4
- Amartya Sen;
Poverty and Famines: An Essay on Entitlement and Deprivation
Oxford University Press, 1982
- Amartya Sen.
Development as Freedom
(1999)
- Smeeding, Timothy M., Michael O'Higgins, na Lee Rainwater
Poverty, Inequality and Income Distribution in Comparative Perspective.
Urban Institute Press 1990.
- Stephen C. Smith
,
Ending Global Poverty: A Guide to What Works,
New York: Palgrave Macmillan, 2005
- Triest, Robert K. ""Has Poverty Gotten Worse?"
Journal of Economic Perspectives
1998. 12:97-114.
- Frank, Ellen,
Dr. Dollar: How Is Poverty Defined in Government Statistics?
Dollars & Sense
, Januari / Februari 2006
- Bergmann, Barbara.
"Deciding Who's Poor" ,
Dollars & Sense
, Machi / Aprili 2000
- Babb, Sarah (2009).
Behind the Development Banks: Washington Politics, World Poverty, and the Wealth of Nations
. University of Chicago Press.
ISBN
9780226033655
.
- Richard Wilson na Kate Pickett. "The Spirit Level", Allen Lane 2009
Wikimedia Commons ina media kuhusu: