Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Chad
(au
Ceadda
; alifariki
2 Machi
672
) alikuwa
abati
wa
monasteri
mbalimbali za
Uingereza
, halafu
askofu
wa
York
na hatimaye wa
Lichfield
.
Alijitahidi kufanya
uchungaji
kwa ukamilifu wa
maisha
kufuatana na mifano bora ya
Mababu wa Kanisa
.
Pamoja na
kaka
yake
Cedd
anasifiwa kwa kuingiza
Ukristo
katika
ufalme
wa
Mercia
ambao wakati huo ulikuwa na
ufukara
mkubwa.
[1]
.
Wote wawili wanaheshimiwa tangu kale kama
watakatifu
.
Sikukuu
yake huadhimishwa
tarehe
2 Machi
[2]
.
- Bassett, Steven, Ed.
The Origins of the Anglo-Saxon Kingdoms
. Leicester University Press, 1989. ISBN|978-0-7185-1367-2
- Fletcher, Richard.
The Conversion of Europe: From Paganism to Christianity 371?1386
. HarperCollins, 1997. ISBN|0-00-255203-5
- Mayr-Harting, Henry
.
The Coming of Christianity to Anglo-Saxon England
. 1991.
Pennsylvania State University Press
. ISBN|978-0-271-00769-4
- Rudolf Vleeskruijer
The Life of St.Chad, an Old English Homily edited with introduction, notes, illustrative texts and glossary by R. Vleeskruyer
, North-Holland, Amsterdam (1953)
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|