Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
5 Julai
ni
siku
ya 186 ya
mwaka
(ya 187 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 179.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Antonio Maria Zaccaria
,
Stefano wa Nisea
,
Siprila wa Kurene
,
Atanasi wa Yerusalemu
,
Domesi Mganga
,
Marta wa Antiokia
,
Tomaso wa Terreti
,
Athanasi wa Mlima Athos
,
Theresia Chen Jinxie
,
Roza Chen Aixie
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
5 Julai
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|