Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
1922 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 9 Januari
-
Har Khorana
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1968
- 28 Januari
-
Robert Holley
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1968
- 20 Machi
-
Carl Reiner
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 13 Aprili
-
Julius Nyerere
, Rais wa kwanza, "Mwalimu" na "Baba wa Taifa" wa
Tanzania
- 22 Aprili
-
Charles Mingus
, mwanamuziki wa
Marekani
- 1 Mei
-
Tad Mosel
, mwandishi kutoka
Marekani
- 27 Mei
-
Christopher Lee
, mwigizaji filamu kutoka
Uingereza
- 13 Juni
-
Etienne Leroux
, mwandishi wa
Afrika Kusini
- 15 Julai
-
Leon Lederman
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1988
- 19 Julai
-
George McGovern
, mwanasiasa kutoka
Marekani
- 9 Septemba
-
Hans Georg Dehmelt
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1989
- 22 Septemba
-
Chen Ning Yang
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1957
- 19 Oktoba
-
Elsa Joubert
, mwandishi wa
Afrika Kusini
- 14 Novemba
-
Boutros Boutros-Ghali
, mwanasiasa wa
Misri
, na Katibu Mkuu wa
UM
(1992-1996)
- 16 Novemba
-
Jose Saramago
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fasihi
, mwaka wa
1998
- 17 Novemba
-
Stanley Cohen
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
, mwaka wa
1986
- 23 Novemba
-
Joan Fuster
, mwandishi wa
Kikatalani
kutoka
Hispania
- 14 Desemba
-
Nikolai Basov
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1964
bila tarehe
Wikimedia Commons ina media kuhusu: