Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Thomas Teye Partey
(alizaliwa
Juni
,
1993
) ni
mchezaji
wa
soka
wa
Ghana
, ambaye anacheza kama
kiungo mkabaji
katika
klabu
ya
Uingereza
, itwayo
Arsenal FC
na
timu ya taifa
ya Ghana.
Alizaliwa huko Odumase Krobo, Thomas alikuwa
Mchezaji
wa klabu ya Odometah FC ya vijana. Baadaye alisaini mkataba na
klabu
ya Atletico Madrid mwaka 2011.Tarehe
10 Machi
2013, Thomas aliitwa katika kikosi cha kwanza cha Atletico Madrid katika mechi dhidi ya Real Sociedad.
Mnamo tarehe 12 Julai, Thomas alisajiliwa katika
klabu
ya kwa RCD Mallorca kwa mkopo, Mnamo 18 Agosti alicheza mechi yake ya kwanza,ambayo walifungwa goli 4-0 dhidi ya CE Sabadell FC
Tarehe 27 Julai 2014 Thomas alijiunga na La Liga huko
Hispania
katika klabu ya UD Almeria. Alicheza mechi ya kwanza katika mashindano 23 Agosti mechi dhidi ya RCD Espanyol na kutoka sare ya goli 1-1.
Alichezea timu yake ya kwanza kwa mara nyingine Atletico tarehe 28 Novemba 2015, katika mechi ambayo walipata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Espanyol.
Mnamo 2 Januari mwaka uliofuata aliisaidia klabu yake katika mechi dhidi ya Levante UD. Mnamo tarehe 28 Mei, Thomas alicheza katika Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA dhidi ya Real Madrid.
|
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Thomas Partey
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|