Shirika la Mkombozi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Alfonso Maria wa Liguori (1696-1787), Mwanzilishi wa shirika
Mt. John Nepomucene Neumann (1811-1860), askofu wa kwanza wa Marekani kutangazwa mtakatifu

Shirika la Mkombozi Mtakatifu sana (kwa [[Kilatini: Congregatio Sanctissimi Redemptoris ? Ufupisho: C.Ss.R au CSSR) ni shirika la kitawa la kimisionari la Kanisa Katoliki lililoanzishwa na Alfonso Maria wa Liguori tarehe 9 Novemba 1732 huko Scala (karibu na Amalfi , Italia ) ili kushughulikia watu waliosahaulika wa mkoa wa Napoli .

Kwa Kiingereza wanashirika wanajulikana kama Redemptorists . Wakiwa mapadri na mabradha wanafanya kazi katika nchi zaidi ya 77 duniani kote. Mkuu wao anaitwa Michael Brehl.

Wanashirika maarufu [ hariri | hariri chanzo ]

Viungo vya nje [ hariri | hariri chanzo ]