Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Memi wa Chalons
(pia:
Memmius, Memmie, Menge, Meinge
; alifariki
300
hivi
[1]
) alikuwa
askofu
wa kwanza wa
mji
huo
, leo nchini
Ufaransa
[2]
[3]
.
Tangu kale anaheshimiwa kama
mtakatifu
.
Sikukuu
yake huadhimishwa
tarehe
5 Agosti
[4]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|