Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Libertino
(alifariki
Triocala
,
Sicilia
,
Italia
,
karne ya 3
) alikuwa
askofu
wa
Agrigento
ambaye anahesabiwa kuwa wa kwanza
[1]
.
Tangu kale anaheshimiwa na
Wakatoliki
na
Waorthodoksi
kama
mtakatifu
mfiadini
.
Sikukuu
yake huadhimishwa tarehe
3 Novemba
[2]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|