Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Joanisi
(pia:
Joanisi Mkuu
, kwa
Kigiriki
: ?σιο? Ιωανν?κιο? ο Μ?γα?;
Bitinia
,
754
/
762
hivi - Antidium,
3 Novemba
846
) alikuwa
mmonaki
, na hasa
mkaapweke
, maarufu kwa
miujiza
[1]
, katika maeneo ya
Uturuki
ya leo. Alisaidia kurudisha
heshima
kwa
picha takatifu
baada ya
dhuluma
ya
serikali
ya
Dola la Roma Mashariki
[2]
.
Kabla ya
kutawa
alikuwa
askari
kwa miaka 20
[3]
[4]
.
Tangu kale anaheshimiwa na
Kanisa Katoliki
kama
mtakatifu
[5]
.
Sikukuu
yake inaadhimishwa kila
tarehe
3 Novemba
[6]
au
4 Novemba
[7]
[8]
.
- ↑
Butler, Rev. Alban (2010).
The Lives of the Saints
. New York: Bartelby.
- ↑
"Venerable Joannicius the Great"
.
Orthodox Church In America
. Iliwekwa mnamo
July 3,
2019
.
- ↑
Treadgold, Warren (January 2002). "Photius Before His Patriarchate".
Journal of Ecclesiastical History
53
– kutoka Cambridge.
- ↑
Cyril Mango, "The Two Lives of St Ioannikios and the Bulgarians", Harvard Ukrainian Studies VII (1983) (Okeanos: Essays presented to Ihor Swevcenko),393-404, esp. pp.396-400
- ↑
http://www.santiebeati.it/nomi/Detailed/76060.html
- ↑
Martyrologium Romanum
- ↑
Συναξαριστ??. 4 Νοεμβρ?ου. ECCLESIA.GR. (H ΕΚΚΛΗΣΙΑ ΤΗΣ ΕΛΛΑΔΟΣ).
- ↑
? ?σιο? ?ωανν?κιο? ? Μ?γα? ? ?ν ?λ?μπ?. 4 Νοεμβρ?ου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|