Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Betrandi wa Comminges
(
L'Isle-Jourdain
,
Ufaransa
,
1050
hivi ?
Lugdunum Convenarum
[1]
, Ufaransa,
1126
) alikuwa
kanoni
Mwaugustino
, halafu kwa karibu miaka 50
[2]
askofu
wa Lugdunum Convenarum, akifufua na kurekebisha
jimbo
hilo
[3]
.
Papa Honori III
alimtangaza
mwenye heri
mwaka
1220
/
1222
, halafu
Papa Klementi V
alimfanya
mtakatifu
mwaka
1309
.
Sikukuu
yake huadhimishwa tarehe
16 Oktoba
[4]
.
- Rafael Lazcano,
Episcopologio agustiniano
. Agustiniana, Guadarrama (Madrid), 2014, vol. II, 2024-2063. [Life, works, studies, iconography and wegraphy).
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|