Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Basili na Prokopi
(walifariki
Konstantinopoli
, leo nchini
Uturuki
,
karne ya 8
) walikuwa
wamonaki
walioteswa na kufungwa na
kaisari Leo III
wa
Bizanti
kwa sababu ya kutetea
heshima
kwa
picha takatifu
[1]
.
Tangu kale wanaheshimiwa na
Wakatoliki
na
Waorthodoksi
kama
watakatifu
.
Sikukuu
yao huadhimishwa
tarehe
27 Februari
[2]
.
- Bibliotheca Sanctorum
II, p. 949
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|