Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Imani
ya
Baha'i
(kwa
Kiparsi
|?????.) ni
dini
inayofundisha
kuabudu
Mungu
pekee.
Mwanzilishi
wake alikuwa
Baha'ullah
huko
Uajemi
, (leo
Iran
) katika
karne ya 19
, aliyesisitiza
umoja
wa kiroho wa
binadamu
wote.
[1]
Leo wafuasi wa dini hiyo duniani kote ni kati ya
milioni
5 na 6.
[2]
[3]
Katika imani ya Baha'i,
historia
inatazamwa kama mfululizo wa wajumbe wa Mungu walioanzisha dini mbalimbali kadiri ya mahitaji ya wakati na watu. Kati yao kuna
Abrahamu
,
Buddha
,
Yesu
,
Muhammad
na wengineo.
Hatimaye walitokea
Bab
na
Baha'u'llah
kukamilisha yote ili kuleta
amani
,
haki
na umoja.
[4]
|
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|