Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Paskali II,
O.S.B.
(alifariki
21 Januari
1118
) alikuwa
Papa
kuanzia
tarehe
13
/
14 Agosti
1099
hadi
kifo
chake
[1]
. Alitokea
Bleda
au
Galeata
,
Forli
,
Italia
[2]
.
Jina
lake la kuzaliwa lilikuwa
Ranierius
.
Alimfuata
Papa Urbano II
akafuatwa na
Papa Gelasio II
.
|
---|
|
karne ya 1 hadi ya 4
| | |
---|
karne ya 5 hadi ya 8
| |
---|
karne ya 9 hadi ya 12
| |
---|
karne ya 13 hadi ya 16
| |
---|
karne ya 17 hadi ya 20
| |
---|
karne ya 21
| |
---|
|
|
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Papa Paskali II
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|