Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kolmani wa Orkney
(alifariki
1010
hivi) alikuwa
askofu
wa
visiwa
hivyo
vya
Uskoti
kuanzia
mwaka
994
[1]
.
Pengine anachanganywa na
Kolmani mwingine
aliyekuwa
abati
wa
Dromore
huko
Ireland
na kufariki katika
karne ya 6
[2]
.
Tangu kale anaheshimiwa na
Wakatoliki
na
Waorthodoksi
kama
mtakatifu
.
Sikukuu
yake huadhimishwa
tarehe
6 Juni
[3]
.
- Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.),
Bibliotheca Sanctorum
(BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Universita Lateranense, Roma 1961-1969.
(Kiitalia)
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|