Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kisotho-Kusini
ni
lugha ya Kibantu
nchini
Afrika Kusini
inayozungumzwa na
Wasotho
. Mwaka wa
2006
idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kusini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu 4,240,000. Kufuatana na uainishaji wa
lugha
za Kibantu wa
Malcolm Guthrie
Kisotho-Kusini iko katika kundi la S30.
|
Makala hii kuhusu mambo ya
lugha
bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Kisotho-Kusini
kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|