Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kastrese
(alifariki
Castel Volturno
au
Sessa Aurunca
, leo katika
wilaya
ya
Caserta
,
Italia
,
karne ya 5
) alikuwa
askofu
wa
Afrika Kaskazini
ambaye alikimbia
dhuluma
za
Wavandali
Waario
akahamia
Italia Kusini
[1]
.
Tangu kale anaheshimiwa kama
mtakatifu
mfiadini
.
Sikukuu
yake huadhimishwa
tarehe
11 Februari
[2]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|