Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bruno wa Wurzburg
(
1005
hivi -
Persenbeug
,
Austria ya Chini
,
27 Mei
1045
) alikuwa
chansela
wa
Italia
(
1027
-
1034
) kwa niaba ya
ndugu
yake
kaisari
Konrad II
, halafu
askofu
na
mtawala
wa
Wurzburg
hadi
kifo
chake
[1]
[2]
.
Alikarabati
kanisa kuu
, alirekebisha
maisha
ya
kleri
na kuwafundisha waumini
Maandiko Matakatifu
[3]
.
Bruno aliandika pia
kitabu
cha
ufafanuzi
wa
Zaburi
na
tenzi
kumi
za
Biblia
, kwa kutumia madondoo ya
Mababu wa Kanisa
.
Tangu kale anaheshimiwa na
Kanisa Katoliki
na
Waorthodoksi
kama
mtakatifu
.
Sikukuu
yake ni
tarehe
27 Mei
[4]
.
- Peter Kolb and Ernst-Gunther Krenig (eds.), 1989:
Unterfrankische Geschichte
, pp. 229?232. Wurzburg
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|