Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
8 Julai
ni
siku
ya 189 ya
mwaka
(ya 190 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 176.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Akwila na Priska
,
Gliseria
,
Prokopi Mkuu
,
Pankrasi wa Taormina
,
Auspisi wa Toul
,
Disibodo
,
Landrada
,
Kiliani wa Wurzburg
,
Wafiadini Waabrahamu
,
Papa Adrian III
,
Yohane Wu Wenyin
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
8 Julai
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|