Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
25 Novemba
ni
siku
ya 329 ya
mwaka
(ya 330 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 36.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Katerina wa Aleksandria
,
Merkuri wa Kaisarea
,
Musa wa Roma
,
Petro I wa Aleksandria
,
Esiki, Pakomi na Theodori
,
Markulo wa Numidia
,
Petro Yi Ho-yong
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
25 Novemba
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|