Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
16 Januari
ni
siku
ya
kumi na sita
ya
mwaka
. Mpaka uishe zinabaki siku 349 (350 katika miaka mirefu).
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Papa Marcellus I
,
Danakte
,
Melas
,
Honorati wa Arles
,
Yakobo wa Moutiers
,
Tisyano wa Oderzo
,
Leobasi
,
Triviero
,
Fursei abati
,
Yoana wa Bagno
,
Berardo mfiadini
na wenzake,
Jose Vaz
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
16 Januari
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|