Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
1906 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 4 Februari
-
Dietrich Bonhoeffer
, mwanateolojia nchini
Ujerumani
- 25 Februari
-
Mary Chase
, mwandishi kutoka
Marekani
- 31 Machi
-
Shinichiro Tomonaga
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1965
- 13 Aprili
-
Samuel Beckett
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fasihi
, mwaka wa
1969
- 11 Juni
-
Nicolaas Louw
, mwandishi wa
Afrika Kusini
- 19 Juni
-
Ernst Boris Chain
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
, mwaka wa
1945
- 28 Juni
-
Maria Goeppert-Mayer
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1963
- 2 Julai
-
Hans Bethe
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1967
- 23 Julai
-
Vladimir Prelog
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1975
- 4 Septemba
-
Max Delbruck
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1969
- 6 Septemba
-
Luis Leloir
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1970
- 22 Oktoba
-
Sidney Kingsley
, mwandishi kutoka
Marekani
- 30 Oktoba
-
Archibald Jordan
, mwandishi na mwanahistoria wa
Afrika Kusini
- 12 Novemba
-
George Dillon
, mshairi kutoka
Marekani
- 18 Novemba
-
George Wald
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1967
- 10 Desemba
-
Ferdinand Alquie
, mwanafalsafa wa
Ufaransa
- 25 Desemba
-
Ernst Ruska
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
, mwaka wa
1986
Wikimedia Commons ina media kuhusu: