Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
12 Aprili
ni
siku
ya
102
ya
mwaka
(ya 103 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 263.
- 238
-
Gordian I
,
Kaisari
wa
Dola la Roma
aliuawa
- 238
-
Gordian II
,
Kaisari
wa
Dola la Roma
aliuawa
- 352
-
Mtakatifu
Papa Julius I
- 1945
-
Franklin D. Roosevelt
, Rais wa
Marekani
(
1933
-
1945
)
- 1947
-
Louis Leipoldt
,
mwandishi
wa
Afrika Kusini
- 1971
-
Igor Tamm
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1958
- 1984
-
Edward Sokoine
,
Waziri Mkuu
wa
Tanzania
(
1977
-
1980
,
1983
-
1984
)
- 1988
?
Alan Paton
, mwandishi wa
Afrika Kusini
- 1991
-
James Schuyler
, mshairi kutoka
Marekani
- 1997
-
George Wald
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1967
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Visia
,
Papa Julius I
,
Zeno wa Verona
,
Saba Mgoti
,
Konstantino wa Gap
,
Damiano wa Pavia
,
Bazili wa Pario
,
Ekembodo
,
Alferi
,
Teresa wa Yesu wa Los Andes
,
Yosefu Moscati
,
Daudi Uribe
n.k.
WikiMedia Commons
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
12 Aprili
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|