Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yosefu mtungatenzi
(
Sicilia
,
Italia
,
816
-
Konstantinopoli
, leo nchini
Uturuki
,
3 Aprili
886
) alikuwa
mmonaki
padri
katika
monasteri
ya
Thesalonike
,
Ugiriki
.
Ni maarufu hasa kwa
tenzi
zake zinazotumika hadi leo hata katika
Ukristo wa Magharibi
ambazo zimemfanya mmojawapo kati ya
watunzi
wakuu wa
muziki wa Kikristo
[1]
.
Alidhulumiwa sana na
serikali
kwa kutetea
heshima
kwa
picha takatifu
. Kwa ajili hiyo alitumwa pia
Roma
kuomba
ulinzi
wa
Papa
.
Hatimaye alikabidhiwa utunzaji wa vyombo vitakatifu vya
kanisa
la
Hagia Sophia
[2]
.
Tangu kale anaheshimiwa na
Wakatoliki
na
Waorthodoksi
kama
mtakatifu
[3]
.
Sikukuu
yake huadhimishwa tarehe
3 Aprili
[4]
.
- Mioni, Elpidio (1948). "I kontakia inediti di Giuseppe Innografo: studio introduttivo e testi".
Bollettino della Badia Greca di Grottaferrata
2
: 87?88, 177?193.
- Papadopulos-Kerameus, Athanasios, mhariri (1901). "Vie de saint Joseph l'Hymnographe par Theophane".
Monumenta Graeca et Latina Ad Historiam Photii Patriarchae Pertinentia
2
: 1?14.
- Ioannes o Diakonos (1862). "Λ?γο? ε?? τ?ν βι?ν το? ?ν ?γ?οι? πατρ?? ?μ?ν ?ωσ?φ το? ?μνογρ?φου".
Patrologia Graeca
105
: cc. 939?976.
- Treu, Maximilian, mhariri (1899).
"Θεοδ?ρου το? Πεδιασ?μου λ?γο? ?γκωμιαστικ?? ε?? τ?ν ?σιον ?ωσ?φ τ?ν ?μνογρ?φον"
.
Programm des Victoria-Gymnasiums zu Potsdam
84
: 1?14.
- Follieri, Enrica (1961). "Un canone di Giuseppe Innografo, per S. Fantino " il vecchio " di Tauriana".
Revue des etudes byzantines
19
: 130?151.
doi
:
10.3406/rebyz.1961.1248
.
- Hillier, Richard (1985).
"Joseph the Hymnographer and Mary the Gate"
.
The Journal of Theological Studies
36
(2): 311?320.
JSTOR
23962461
.
doi
:
10.1093/jts/36.2.311
.
- Stiernon, Daniel (1973). "La vie et l'œuvre de S. Joseph l'Hymnographe. A propos d'une publication recente".
Revue des etudes byzantines
31
: 243?266.
doi
:
10.3406/rebyz.1973.1468
.
- Tomadakes, Evtychios I. (1971). "?ωσ?φ ? ?μνογρ?φο?. Β?ο? κα? ?ργον". ?θην?, σ?γγραμμα περιοδικ?ν τ?? ?ν ?θ?ναι? ?πιστημονικ?? ?ταιρε?α?, Σειρ? διατριβ?ν κα? μελετημ?των
11
. Athens: Academy of Athens.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|