Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Venansi wa Tours
(alifariki
Tours
,
Galia
, leo nchini
Ufaransa
,
karne ya 5
) alikuwa
abati
wa
monasteri
ya huko.
Kwanza aliwahi
kuoa
bado
kijana
, lakini alipotembelea
wamonaki
alivutiwa na
maisha
yao akakubaliwa na
mke
wake ajiunge nao.
Tangu kale anaheshimiwa na
Kanisa Katoliki
na
Kanisa la Kiorthodoksi
kama
mtakatifu
.
Sikukuu
yake ni
tarehe
13 Oktoba
[1]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|