Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jermano, Theofilo na Sirili
(walifariki
Kaisarea wa Kapadokia
, katika
Uturuki
ya leo) walikuwa
Wakristo
waliofia
imani
yao.
[1]
Tangu kale wanaheshimiwa na
Wakatoliki
na
Waorthodoksi
kama
watakatifu
.
Sikukuu
yao huadhimishwa
tarehe
3 Novemba
[2]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|