Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Harald V
(alizaliwa
21 Februari
1937
) ni
mfalme
wa
Norwei
. Baba yake alikuwa
Olav V
, na mama yake alikuwa
Martha
. Harald aliaga dunia
17 Januari
1991
. Yeye alikuwa mfalme wa kwanza kuzaliwa Norwei tangu miaka 600.
Harald alioana na
Sonjana
wana watoto wawili:
Martha Louise
(z. 1971) na
Haakon Magnus
(z. 1973).