Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wanyamapori
|
Baadhi ya wanyamapori mbalimbali
|
Uainishaji wa kisayansi
|
Himaya:
|
Wanyama wenye uti wa mgongo
|
Nusuhimaya:
|
kanivora,omnivora na hebivora
|
Ngeli:
|
wanyamapori
|
Familia:
|
mamalia
|
|
Wanyamapori
ni aina ya
jamii
ya
wanyama
ambao hawafugwi na
binadamu
na wanaishi katika
makazi
yao
porini
.
Wanyamapori wanaweza kupatikana katika
mazingira
yoyote:
jangwa
,
misitu
,
misitu ya mvua
,
tambarare
na maeneo mengine, yakiwa ni pamoja na maeneo ya
miji
yenye
maendeleo
ambapo hupatikana wanyamapori wa aina tofautitofauti.
Wanasayansi
wanakubali kwamba wanyamapori wengi huathiriwa na
shughuli za binadamu
.
Wanadamu
wamejaribu kupitisha
ustaarabu
kuhusu wanyamapori kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na za
kisheria
,
kijamii
, na
kimaadili
. Wanyama wengine, hata hivyo, wamebadilisha mazingira ya miji. Hii inajumuisha wanyama kama vile
paka
,
mbwa
,
panya
, na
gerbils
.
Dini
nyingine zinatangaza wanyama fulani kuwa
watakatifu
, na katika nyakati za kisasa zinahusika na mazingira ya
asili
imesababisha
wanaharakati
kupinga
unyonyaji
wa wanyamapori kwa manufaa ya binadamu au
burudani
.
Idadi
ya wanyamapori
duniani
imeshuka kwa
asilimia
52
kati ya miaka
1970
na
2014
, kulingana na ripoti ya
Shirika la Wanyamapori la Dunia
.