Tomas Transtromer (amezaliwa 15 Aprili , 1931 mjini Stockholm ) ni mshairi, mwanasaikolojia na mfasiri kutoka nchi ya Uswidi . Hasa ameandika mashairi kuhusu majira ya baridi nchini mwake. Mwaka wa 2011 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi .