Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tiranioni na Zenobi
(walifariki
Antiokia
ya
Siria
, leo nchini
Uturuki
,
311
hivi) walikuwa
askofu
na
padri
wa
Turo
, katika
Lebanoni
ya leo, walioteswa kwa
ndoano
na kuuawa kikatili kwa ajili ya
imani
ya
Kikristo
wakati wa
dhuluma
ya
kaisari
Dioklesyano
[1]
[2]
.
Tangu kale wanaheshimiwa na
Wakatoliki
na
Waorthodoksi
kama
watakatifu
wafiadini
.
Sikukuu
yao huadhimishwa
tarehe
20 Februari
[3]
[4]
.
- ↑
Torben Christensen,
Rufinus of Aquileia and the
Historia Ecclesiastica
, Lib. VIII?IX, of Eusebius
(Copenhage, 1989), pp. 104?106, 110.
- ↑
http://www.santiebeati.it/dettaglio/42120
- ↑
Martyrologium Romanum
- ↑
Basil Watkins,
The Book of Saints
, 8th ed. (Bloomsbury, 2016 [1921]), p. 734.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|