Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Siriaka wa Nikomedia
(kwa
Kigiriki
: Κυριακ?, yaani
Dominika
[1]
;
Nikomedia
, leo
Izmit
nchini
Uturuki
,
karne ya 3
-
Kalsedonia
, leo nchini Uturuki,
289
hivi) alikuwa
bikira
Mkristo
aliyefia
dini
yake katika
dhuluma
ya
kaisari
Dioklesyano
[2]
[3]
[4]
.
Tangu kale anaheshimiwa na
Wakatoliki
,
Waorthodoksi
na
Waorthodoksi wa Mashariki
kama
mtakatifu
mfiadini
.
Sikukuu
yake huadhimishwa
tarehe
6 Julai
[5]
au
7 Julai
[6]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|