Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali panapotunza
masalia
yake katika
kanisa
lenye
jina
lake huko Roma,
Italia
.
Saturnini wa Karthago
(alifariki
Roma
,
Italia
,
250
hivi) alikuwa
askofu
wa
Kanisa Katoliki
katika
mji
wa
Karthago
(katika
Tunisia
ya leo).
Baada ya kuteswa nchini kwao katika
dhuluma
ya
kaisari
Decius
alipelekwa uhamishoni
Roma
ambapo hatimaye aliuawa kwa kukatwa
kichwa
.
Tangu kale anaheshimiwa na
Wakatoliki
na
Waorthodoksi
kama
mtakatifu
mfiadini
.
Sikukuu
yake huadhimishwa
tarehe
29 Novemba
[1]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|