Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Petro Tomaso,
O.Carm.
(
Perigord
,
1305
?
Famagusta
,
Kupro
,
1366
) alikuwa
Mkarmeli
wa
Ufaransa
, maarufu kwa mahubiri yake, aliyehudumia kama
askofu
na
balozi
wa
Papa
huko
Mashariki
hadi
kifo
chake
[1]
[2]
.
Papa Paulo V
alimtangaza
mwenye heri
mwaka
1609
na
Papa Urban VIII
alimtangaza
mtakatifu
mwaka
1628
.
Sikukuu
yake huadhimishwa
tarehe
6 Januari
[3]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|