Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Honorius III
(
1148
?
18 Machi
1227
) alikuwa
Papa
kuanzia
tarehe
18
/
24 Julai
1216
hadi
kifo
chake
[1]
. Alitokea
Roma
,
Italia
[2]
.
Jina
lake la kuzaliwa lilikuwa
Cencio Savelli
.
Alimfuata
Papa Inosenti III
akafuatwa na
Papa Gregori IX
.
Ndiye aliyethibitisha
Kanuni ya Ndugu Wadogo
iliyotungwa na
Fransisko wa Asizi
kwa ajili ya
shirika
lake (
29 Novemba
1223
).
|
---|
|
karne ya 1 hadi ya 4
| | |
---|
karne ya 5 hadi ya 8
| |
---|
karne ya 9 hadi ya 12
| |
---|
karne ya 13 hadi ya 16
| |
---|
karne ya 17 hadi ya 20
| |
---|
karne ya 21
| |
---|
|
|
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Papa Honorius III
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|