Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Leo XIII
(
2 Machi
1810
?
20 Julai
1903
) alikuwa
Papa
kuanzia
tarehe
20 Februari
/
3 Machi
1878
hadi
kifo
chake
[1]
. Alitokea
Carpineto Romano
,
Italia
[2]
.
Jina
lake la kuzaliwa lilikuwa
Vincenzo Gioacchino Raffaele Luigi Pecci
.
Alimfuata
Papa Pius IX
(1846-78) akafuatwa na
Papa Pius X
.
|
---|
|
karne ya 1 hadi ya 4
| | |
---|
karne ya 5 hadi ya 8
| |
---|
karne ya 9 hadi ya 12
| |
---|
karne ya 13 hadi ya 16
| |
---|
karne ya 17 hadi ya 20
| |
---|
karne ya 21
| |
---|
|
|
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Papa Leo XIII
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|