Umoja wa Mungu Utatu ( Baba , Mwana , Roho Mtakatifu ) Umwilisho Maisha ya Yesu Msalaba Ufufuko Kupaa Historia ya Wokovu Ufunuo Biblia Mapokeo Ualimu Dogma Neema Dhambi Wokovu Sakramenti Watakatifu Bikira Maria
Papa : Fransisko Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu Kundi la Makardinali Kanisa la Kilatini Makanisa Katoliki ya Mashariki
Historia Ukristo Ukatoliki Mlolongo wa Kitume Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa Sala Falsafa Teolojia Muziki Sanaa Sayansi
Liturujia Mwaka wa Kanisa Ekaristi Liturujia ya Vipindi
Liturujia ya Kilatini ( Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury ) Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia Liturujia ya Mesopotamia
Orodha ya makardinali wa Kanisa Katoliki huonyesha ma kardinali wote ambao walikuwepo tarehe 24 Novemba 2007.
Papa ana haki ya kumteua kardinali bila ya kutangaza jina lake. Uteuzi huu huitwa "in pectore" ( kilatini "moyoni" ). Hii inaweza kutokea hasa kama ni kardinali kutoka nchi pasipo uhuru wa kidini au nchi ambayo haina uhusiano mzuri na kanisa katoliki. Tarehe hii hakuwepo yeyote wa namna hiyo.
Majina yamepangwa kufuatana na bara na nchi.