Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro
wa Kijapani ukiwaonyesha
Wafiadini wa Nagasaki
,
karne ya 16
na ya
17
.
Mikaeli Kurobioye
(alifariki
Nagasaki
,
17 Agosti
1633
) alikuwa
katekista
wa
Japani
aliyeuawa kwa ajili ya
imani
yake pamoja na
padri
Yakobo Kyushei Tomonaga
kwa
amri
ya
kamanda
mkuu Tokugawa Yemitsu
[1]
.
NI kati ya
Wakristo
wa
Kanisa Katoliki
waliofia
dini
nchini humo.
Anaheshimiwa kama
mtakatifu
pamoja na
Lorenzo Ruiz
na wenzao waliotangazwa na
Papa Yohane Paulo II
kuwa
wenye heri
tarehe
18 Februari
1981
halafu
watakatifu
tarehe
18 Oktoba
1987
.
Sikukuu
yao huadhimishwa tarehe
28 Septemba
, lakini ya kwake mwenyewe tarehe ya
kifodini
chake
[2]
.
- Lorenzo de Manila, The Proto-Martyr of The Philippines and his Companions
- Fr.
Fidel Villarroel
, O.P., 1988
- Constantino Alvares, Jose Garcia, Pedro Tejero, Witnesses of the faith in the Orient: Dominican Martyrs of Japan, China, and Vietnam, Manila, Life Today Publications, 1989,
ISBN 971-8596-03-8
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|