Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sista
(kutoka
Kiingereza
sister
, yaani dada) ni neno la mkopo linalotumika katika
lugha
ya
Kiswahili
hasa kumaanisha
mtawa
wa kike, yaani mwanamke aliyewekwa
wakfu
alipoahidi kushika
mashauri ya Kiinjili
ya
useja mtakatifu
,
ufukara
na
utiifu
.