Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Marine Le Pen
(amezaliwa
Neuilly-sur-Seine
,
5 Agosti
1968
) ni
mwanasiasa
wa
Ufaransa
.
Binti
mdogo wa
Jean-Marie Le Pen
, alifanya
kazi
kama
mwanasheria
kati ya miaka
1992
na
1998
, mwanachama wa
Bunge la Ulaya
tangu mwaka
2004
,
rais
wa
chama cha kisiasa
cha
Front National
tangu
tarehe
16 Januari
2011
.
[1]
Maisha yake alivyoyaandika mwenyewe
[
hariri
|
hariri chanzo
]
- (Kifaransa)
A contre-flots
, ed. Jacques Grancher, coll. "Grancher Depot", Paris, 2006, 322 p., broche, 15 x 22 cm
|
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Marine Le Pen
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|