Mantiki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mantiki (kutoka Kiarabu ???? mantiq ; kwa Kiingereza logic kutoka Kigiriki logos , yaani neno, wazo) ni elimu jinsi ya kutoa hoja sahihi.

Mantiki inasaidia kufikia uamuzi kama hoja fulani ni ya kweli au la. Mantiki ni tawi la falsafa , pia hisabati .

Mfano wa hitimisho ( syllogism ) kutoka Wagiriki wa Kale na siku za mwanzo wa mantiki iliyotolewa na Aristoteli :

  1. Kila mtu atakufa
  2. Sokrates ni mtu
  3. Kwa hiyo Sokrates atakufa

Mantiki kwa fomula

Hitimisho hiyo inaweza kuandikwa pia kwa fomula :

  • husomwa kama "na", kwa kumaanisha zote mbili
  • husomwa kama "au", kwa kumaanisha angalau moja kati ya hizi mbili
  • husomwa kama "inamaanisha", au "kama ... halafu ...".
  • husomwa kama "hapana" au "si vile ...".
  • Mabano ( , ) huongezwa kwa kuratibu hoja kwa umuhimu. Yaani kile katika mabano kinapaswa kuangaliwa kwanza.

Kwa hiyo hitimisho ya Aristoteli kwa fomula:

Hiyohiyo kama fomula kwa mifano yote: