한국   대만   중국   일본 
Machweo - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Machweo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jua , dakika moja kabla ya kuchwa huko Ureno .
Machweo katika Hifadhi ya Taifa Nyerere Tanzania .

Machweo (au Magharibi ) ni kipindi cha siku ambapo jua linatoweka kabisa kwa macho ya watu wa eneo fulani, kabla ya kwanza usiku . Kinyume chake ni macheo au pambazuko inayotokea wakati usiku unakwisha na mchana unaanza.

Wakati huo rangi nyekundu inatawala mandhari .

Binadamu na wanyama wengi wakati huo wanakwenda mahali pa kupumzika usiku .

Dini mbalimbali zinaagiza sala kwa wakati huo, kwa mfano Ukristo na Uislamu .

Tanbihi [ hariri | hariri chanzo ]

Viungo vya nje [ hariri | hariri chanzo ]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Wikimedia Commons ina media kuhusu: