Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
California
(pia:
Kalifornia
) ni
jimbo
la
Marekani
upande wa
magharibi
-
kusini
ya nchi. Iko kwenye
pwani
ya
Pasifiki
ikipakana na
Meksiko
(
Baja California
).
Wakazi wamekadiriwa kuwa 39,512,223
mwaka
2019
.
California ni kati ya majimbo ya Marekani yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi. Kama California ingekuwa nchi huru ya kujitegemea
uchumi
wake ungekuwa na nafasi ya 8
duniani
.
Utalii
,
kilimo
na viwanda vya ndege huajiri watu wengi.
Kampuni
za
kompyuta
zimestawi vizuri sana California, kwa mfano
Microsoft
.
Los Angeles
, hasa eneo la
Hollywood
, ni
kitovu
cha kupiga picha za
filamu
.
Mji mkuu
ni
Sacramento
. Kuna
miji
59 yenye wakazi zaidi ya
lakhi
moja:
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|
Makala hii kuhusu maeneo ya
Marekani
bado ni
mbegu
.
Je unajua kitu kuhusu
California
kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|