Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Honorina wa Rouen
(kwa
Kifaransa
:
Honorine
; alifariki
Ufaransa
Kaskazini
,
303
hivi) alikuwa
mwanamke
Mkristo
aliyeuawa katika
dhuluma
wa
kaisari
Dioklesyano
dhidi ya
Wakristo
[1]
.
Tangu kale anaheshimiwa kama
mtakatifu
bikira
na
mfiadini
.
Sikukuu
yake huadhimishwa
tarehe
27 Februari
[2]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|