Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hilduadi
(alifariki katika eneo la
Ubelgiji
wa leo,
816
hivi) alikuwa
askofu
na
mwanzilishi
wa
monasteri
ya
Dikkelvenne
[1]
.
Tangu kale anaheshimiwa na
Wakatoliki
na
Waorthodoksi
kama
mtakatifu
.
Sikukuu
yake huadhimishwa
tarehe
7 Septemba
[2]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|