Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Frederic Logan Paxson
(
23 Februari
1877
–
24 Oktoba
1948
) alikuwa mwanahistoria kutoka nchi ya
Marekani
. Mwaka wa
1925
, alipokea
Tuzo ya Pulitzer ya Historia
kwa kitabu chake
History of the American Frontier
.
|
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Frederic L. Paxson
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|