Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Fosyo, Arkelao, Kwirino na wenzao
(walifariki
Nikomedia
, leo
Izmit
nchini
Uturuki
) walikuwa
Wakristo
waliouawa kwa ajili ya
imani
yao. Walikuwa 20 kama si 140, 150 au 152.
[1]
.
Wanaheshimiwa na
Kanisa Katoliki
na
Waorthodoksi
kama
watakatifu
wafiadini
.
Sikukuu
yao inaadhimishwa kila
mwaka
tarehe
4 Machi
[2]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|