Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bona wa Pisa
(
Pisa
,
Italia
,
1156
-
29 Mei
1207
) alikuwa
bikira
aliyemfuata tangu
ujanani
Yesu Kristo
katika
familia ya kiroho
ya
Waaugustino
kwa
kuhiji
mara kadhaa
Roma
,
Nchi takatifu
na hasa
Santiago de Compostela
pamoja na kuhudumia waliokwenda huko
[1]
.
Tangu kale anaheshimiwa kama
mtakatifu
.
Sikukuu
yake inaadhimishwa kila
mwaka
tarehe
29 Mei
[2]
.
- Attwater, Donald and Catherine Rachel John.
The Penguin Dictionary of Saints
. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993.
ISBN
0-14-051312-4
.
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|