Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Askofu wa jimbo
ni
askofu
ambayo anachunga kwa mamlaka kamili
jimbo
fulani. Kwa msingi huo anatofautiana na
askofu mwandamizi
,
askofu msaidizi
n.k.
Katika
Kanisa Katoliki
[1]
ni kazi yake kufundisha, kutakasa na kuongoza waamini wote wa jimbo lake
[2]
akisaidiwa na ma
padri
na ma
shemasi
.
[3]