Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Artemi na Paulina
ni
Wakristo
waliouawa
mwaka
304
kwa ajili ya
imani
yao
mjini
Roma
[1]
.
Tangu kale wanaheshimiwa na
Wakatoliki
na
Waorthodoksi
kama
watakatifu
wafiadini
.
Sikukuu
yao huadhimishwa
tarehe
6 Juni
[2]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|