Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Apolonia wa Aleksandria
(alifariki
249
hivi) alikuwa mmojawapo katika
kundi
la
mabikira
wa
Aleksandria
,
Misri
waliofia
dini
yao wakati wa shambulio dhidi ya
Wakristo
lililotangulia
dhuluma
ya
kaisari
Decius
.
[1]
[2]
Baada ya kuteswa kikatili kwa kukataa maneno ya kukufuru alikubali kuchomwa
moto
akiwa hai ili asikane
imani
.
Tangu kale anaheshimiwa na
Wakatoliki
,
Waorthodoksi
na
Waorthodoksi wa Mashariki
kama
mtakatifu
.
Sikukuu
yake huadhimshwa
tarehe
9 Februari
[3]
.
- ↑
Eusebius of Caesarea
,
Historia Ecclesiae
, I:vi: 41. After describing how a Christian man and woman, Metras and Quinta, were seized and killed by the mob, and how the houses of several other Christians were pillaged, Dionysius continues: "At that time Apollonia,
parthenos presbytis
(mostly likely meaning a
deaconess
) was held in high esteem. These men seized her also and by repeated blows broke all her teeth. They then erected outside the city gates a pile of soldiers and threatened to burn her alive if she refused to repeat after them impious words (either a blasphemy against Christ, or an invocation of the heathen gods). Given, at her own request, a little freedom, she sprang quickly into the fire and was burned to death".
"St. Apollonia"
.
Catholic Encyclopedia
. Iliwekwa mnamo
21 December
2017
.
- ↑
Olmert, Michael (1996).
Milton's Teeth and Ovid's Umbrella: Curiouser & Curiouser Adventures in History
, p.66. Simon & Schuster, New York.
ISBN 0-684-80164-7
.
- ↑
Martyrologium Romanum
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|